Hivi VITU ni zaidi ya ARV (PICHA)

Hivi VITU ni zaidi ya ARV (PICHA)

Paul Kijoka

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2010
Posts
1,399
Reaction score
255
1.jpgView attachment 556344.jpg
5.jpg6.jpgView attachment 55639
10.jpg11.jpgView attachment 55642
Kwa ubunifu huu UKIMWI utashindwa.
 
Mimi ni mmoja wa wale wanaoamini kuwa tendo la ndoa ni natural ana ni sehemu ya maisha kwa
mtu yeyote aliyebarehe bila kujali kama ameolewa au la. Njia pekee ya kuzuia HIV ni kuwa na matumizi sahihi ya
mipira ya kiume na kike.
 
Huko mikoa ya kanda ya ziwa hizo wanachemsha na chumvi baada ya kutumia kisha anamwazima na mwenzie aende akatumie
 
Hizo kweli ni zaidi ya ARVs, ni safi sana kutumiwa
 
Kweli ukimwi utaendelea kuibuka kidedea kila siku.
 
kula 'stereo' ndiyo mpango... makaratasi ya kazi gani bana ..
 
Wamasai hawazitumi NG'O! Hata muweke na sukari, imewahi ona mutu kula ndizi na ganda yake?
 
Wapi ROUGH RIDER na SUPER LAST kwenye list Coz zile ni kiboko baada ya matumizi unazifua unaanika kwenye kamba ya nguo tayari kwa matumizi siku ingine.
 
Wapi ROUGH RIDER na SUPER LAST kwenye list Coz zile ni kiboko baada ya matumizi unazifua unaanika kwenye kamba ya nguo tayari kwa matumizi siku ingine.
mmmh hiyo mpya.
 
Back
Top Bottom