Hivi vituko vyenu akina dada vitaisha karne ya ngapi?

Wanianike tu bhn uzur hawatanipandisha daraja la salary kazini bali kujifurahisha nafsi kama Dr shika naye kapita tumemsahau na maisha yanaendelea
[emoji23][emoji23][emoji23] nifundishe kupiga blok kuna mee ananiboa..pls..!.[emoji23][emoji23] ngoja waje wakuanike humu sik 1 maana utoto umetaradadi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahhaahhahahaha
Sasa akili ya wapi hiyo ? Wadada mnakosea sanaaa
Bila hiyo msg au salamu shida zako zisingekuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajielewi hawa wanaojiita watoto wa mjini, mda mwingine huwa nashangaa sana kitendo cha kusema ngoja nichat na fulani ili siku ziende hapo hapo, kodi inaisha, luku inakatika punde, njaa inakuja ghafla na kuumwa kunaweza kutokea. Usipokuwa makini utaitwa kubwa jinga ukiwa makini unaitwa mtoto. Chaguo ni lako mazee ujuwe kusuka au kunyoa.
 
Atakua anatafta kiki mkuu ili aonekane nae anatongozwa, hebu mpe kiki hiyo miuu


Sent using Jamii Forums mobile app
Kiki hawezi kupata kwangu, maana tangia uzi umeanza ni yeye tu imemuuma kana kwamba katajwa yeye. Alie mbali haangukiwi na mti. Ukisikia paah ujuwe imekukosa. Ataelewa tu.
 
Kiki hawezi kupata kwangu, maana tangia uzi umeanza ni yeye tu imemuuma kana kwamba katajwa yeye. Alie mbali haangukiwi na mti. Ukisikia paah ujuwe imekukosa. Ataelewa tu.

Mimi pia namshangaa kweli maana kitika wanawake wote humu yeye ndo kakukomalia, yawezekana ulimla hukumlipa hela yake


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Happy ni kiwaki ki noma, hahahahah
 
AMININI NINACHOWAAMBIA Happy yupo humu na anacomment sana bado naendelea kuandika jamani typing..............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…