Vodacom mnatuboa sana sisi wateja wenu! Kila siku mnanitumia msg tuma hela Leo kwa m-pesa upate mb 2 za bure!!!! Mara ukivuta zaidi ya sh.20,000/- kutoka bank kwenda m-pesa yako utapata dk. 2 bure za maongezi!!!.
Mara ukinunua kifurushi chochote Leo utapata dk,1 bure!! Nk. Sasa haya mambo yenu ya kitoto wateja mnatusumbua mno! Hivi tangy lini kd 1 au 2 au mb2 ziliwahi msaidia mtu?
Kuweni wastaarabu basi mjue hao mnao watumia msg za kichovu namna hiyo wengine ndiyo wenye share kubwa huko vodacom! Wengine ni matajiri/viongozi wakubwa!
Hamuonagi aibu? Mnaboa sana!.
Mara ukinunua kifurushi chochote Leo utapata dk,1 bure!! Nk. Sasa haya mambo yenu ya kitoto wateja mnatusumbua mno! Hivi tangy lini kd 1 au 2 au mb2 ziliwahi msaidia mtu?
Kuweni wastaarabu basi mjue hao mnao watumia msg za kichovu namna hiyo wengine ndiyo wenye share kubwa huko vodacom! Wengine ni matajiri/viongozi wakubwa!
Hamuonagi aibu? Mnaboa sana!.