Hivi Waafrika hatuna akili?

Angalia bara la Afrika lilivyo na rasilimali ila ni masikini. Inatosha kusema " NDIYO " isiyokuwa na mashaka.
 
Ukitaka kujua weusi hatujiwezi kwa lolote wew angalia hadi leo hii simba (1936) na yanga (1935) zimeshindwa kabisa kujitegemea licha ya fanbase walivonazo. toka zianzishwe hadi leo hii wanategemea ela za waburushi na wahindi.
 

Kwani darasani tunazo? 😛
 
Tatizo linaanza na wewe jirani kuamini mtoto wako anaweza kudhurika na vitu ambavyo hata nikikupa muda uniletee ushahidi wa kuthibitisha kuwa jirani yako ndie chanzo cha mwanao kufeli utaanza kuhangaika hapa.
 
Mtu mweusi ni nyani anayefanana kwa mbaali na Binadamu
weusi waharibifu sana. kifupi wanaishi maisha ya leo hawana habari na kesho.

hata huko mambele ikitokea weusi wamepewa nyumba/apartments wakae umo na wenzao weupe wapewe apartments kama izoizo, halaf rudi baada ya miezi kadhaa uone hali ya uchafu na uharibifu uliofanywa na hawa wenzetu.

izi takataka wanazozalisha wenyewe watataka serikali ndo ije iziondoe, uko ndani ndo usiseme si ajabu kukuta koki zote hazifai tena zinavujisha mbaya, mtu kuchomeka ndala au soksi kwenye chemba za majisafi/majitaka sio ishu.
 
Hii kitu iko sana
 
waafrika wengi bado wanaendelea kuzaliana wakati hawajimudu kimaisha.

kisingizio kikubwa utaskia eti watoto wanatunzwa na mungu.

huu ni ujinga wa kiwango cha lami na ndomaana idadi ya watoto wa mitaani inaongezeka kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…