Hivi Waafrika hatuna akili?

Hivi Waafrika hatuna akili?

Lakini nahisi Waadzabe hawakutawaliwa na mabeberu.

Huenda Waafrika tungekuwa kwenye hali ile mpaka sasa.
Life sio Black or White na kuna so many happenstances.., huenda tungekuwa na maendeleo huenda tungechinjana huenda chochote kile kingetokea ila exploitation ya Africa imesababisha Africa kudumaa na miji kama Liverpool au Nchi kama Belgium kuendelea for that fact...

Ila kama dunia nzima na watu as species wote tukiungana na kuchukua mazuri toka pande zote kwa ajili ya kupambana na mazingira yetu kama binadamu.., basi binadamu kwa ujumla tutaendelea zaidi kuliko tulivyoendelea sasa hivi..., Case in Point mfano NATO ambaye ni USA pia kwa kuwashinikiza wenzake na kuwashauri kwamba waache kutumia Gas kutoka Russia hivyo kutumia gharama zaidi kwa alterntive ni upuuzi wa kujipiga mwenyewe risasi..., (Sasa hivi hata Ujerumani imeshuka sana katika industrilization na nchi kama China inauza magari yake sana Ulaya kuliko ulaya wenyewe) hadi wanakuja na story za tariff...

Mfano vita vya Dunia viliathiri sana Ulaya.., Kuchukuliwa kwa Creme de la Creme ya Waafrica kama watumwa viliathiri sana Africa... Ila kwa jicho la Globalist kama mimi yote hayo yameleta athari sana kwa dunia nzima katika upigaji wa hatua (Na upuuzi anaofanya sasa hivi Israel huenda ndio ukatengeneza magaidi wa keshokutwa)

Nachotaka kusema kinachofanyika leo ndio determinant ya kesho...
 
Hata kipindi cha utumwa na ukoloni badala ya Machifu wa kiafrika kuungana kwa umoja kupigana na wazungu.

Wengi wao walishirikiana na wazungu kuuza watu wao utumwani kwa kudanganywa na vizawadi na ahadi uchwara.

Watu weusi tumeanza kusalitiana, kubaguana, kuchukiana na kutoshirikiana tangu enzi na enzi.

Wazungu ni wajanja sana, wanapendana sana wao kwa wao na wana shirikiana kulinda maslahi yao kwanza.

Hata wakati wa ukoloni wazungu waliamua kuweka tofauti zao pembeni wakafanya Berlin conference kugawana ardhi ya bara la Afrika kwa amani.

Lakini cha kushangaza, sisi waafrika badala ya sisi pia kuungana kwa pamoja kusaidiana. Tulitengana na kusalitiana.

Tena waafrika wengine waliungana na wazungu kuwapiga waafrika wenzao.

Watu weusi tangu kale tumejawa na chuki, husda na usaliti. Ndio maana hatuna mchango wowote hapa duniani zaidi ya kuzidisha umaskini duniani.
 
"KWANINI WAAFRIKA HATUNA AKILI?"

Kwa anayetaka majibu baada ya utafiti wangu binafsi wa muda mrefu, karibu kwenye nyuzi hizi ambazo nilisuka kweli kweli 👇👇👇



 
Hata kipindi cha utumwa na ukoloni badala ya Machifu wa kiafrika kuungana kwa umoja kupigana na wazungu.

Wengi wao walishirikiana na wazungu kuuza watu wao utumwani kwa kudanganywa na vizawadi na ahadi uchwara.

Watu weusi tumeanza kusalitiana, kubaguana, kuchukiana na kutoshirikiana tangu enzi na enzi.

Wazungu ni wajanja sana, wanapendana sana wao kwa wao na wana shirikiana kulinda maslahi yao kwanza.

Hata wakati wa ukoloni wazungu waliamua kuweka tofauti zao pembeni wakafanya Berlin conference kugawana ardhi ya bara la Afrika kwa amani.

Lakini cha kushangaza, sisi waafrika badala ya sisi pia kuungana kwa pamoja kusaidiana. Tulitengana na kusalitiana.

Tena waafrika wengine waliungana na wazungu kuwapiga waafrika wenzao.

Watu weusi tangu kale tumejawa na chuki, husda na usaliti. Ndio maana hatuna mchango wowote hapa duniani zaidi ya kuzidisha umaskini duniani.
Kwahiyo akili tunazo lakini?
 
Wazungu wenyewe hawapendi sisi tuwe wagunduzi na hii yote nikutokana na kutokuwa na imani na mtu mweusi

Hivi unadhani tukiwa wagunduzi wazungu watatusapoti ikiwa sisi kwa sisi hatusapotiani.
Acha tuwe hivihivi kama manyumbu, uchawi kwa sana

Yaani mtu nweusi hususani Tz akiona mtoto wajilani anafanya vizuri darasani anamroga, sasa huo ugunduzi utatoka wapi
Unasema wazungu hawapendi tuwe wagunduzi?
Sasa kama tuna akili ya kugundua wazungu wanahusikaje kwenye kupenda au kutokupenda?
Huo ndo upunguani anaouliza mleta mada. Kwanini waafrika tunategemea wazungu?
 
Kwa waafrika wanadai hatusapotian ni kwel hilo kabisa kwa sabab hata ukimsapot mtu badae anasahau fadhila zako ulzomtendea so bro kila mtu abak kivyake! Tuendelee kugundua pombe za asil tuu inatosha
Habari za ijumaa wanajamiiforums?

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?

Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.

Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.

Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa k
 
Mi nahisi ishu sio Elimu bali ni akili.
Kumbuka gunduzi zote zilifanyika ndiposa zikawekwa kwenye maandishi.

Hiyo sio hoja kubwa Mkuu.
Lakini swali la kujiuliza au hawa wenzetu wana elimu yao ya siri ya teknolojia.

Ebu fikiria hata kifaa kidogo kama MEMORY CARD kimeundajwe undwaje mpaka ikawa na uwezo wa kutunza music etc.
Sometimes elimu inaweza ikaleta akili Kwa mtu ambae hakuwa na akili
 
Lakini nahisi Waadzabe hawakutawaliwa na mabeberu.

Huenda Waafrika tungekuwa kwenye hali ile mpaka sasa.
Africa we had everything ukiweka Egypt Africa basi hata Civilization tunaweza kusema ilikuwa ni moja ya sehemu ilipoanzia.., Tukiangalia vitu kama ufuaji vyuma, pottery n.k. hata huku vilikuwepo..., Tukiongelea utajili wa kisasa basi hata one of the wealthiest Men duniani alikuwa Mansa Kankan Mussa (alipita Egypt kwa siku moja na dhahabu za kutosha romour has it uchumi ukashuka kutokana na inflation baada ya kugawa dhahabu... kwahio Africa ni Bara na kulikuwa kuna tamaduni tofauti tofauti....

Ukiongelea miji kulikuwa na miji kama Timbuktu ambayo ilikuwa si haba....
 
Lakini bado ni gunduzi ndogo sana ukicompare na wenzetu.
Ebu imagine mtu aliwaza vipi kuwa umeme chanzo chake kinaweza kikawa maji na sio maji ya baharini wala ziwani.

Sometimes huwa nawaza labda wazungu wana siri katika teknolojia zao au labda wana ubongo tofauti na zetu.
Kweli nimeamini hatuna akili aliyekwabia maji ni chanzo cha umeme ni nani??

Chanzo cha umeme ni generator ambapo maji yanatumika kuzungusha turbines(pangaboi) za generator na kuzalisha umeme.

Sasa unaposema maji ndo chanzo cha umeme unathibitisha kweli waafrica hatuna akili.
 
Sokwe, tumbili, nyani n.k wanatofautiana kwenye kufikiria; hata sisi binadamu kutokana na mionekano yetu, pia tunatofautiana kwenye uwezo wa kufikiri.

Ukijiuliza swali, weupe au weusi unasababishwa na nini, na ina athari gani katika kufikiria, tunaweza tusifikie muafaka.

Kama binadamu wote tungekuwa sawa, kusingekuwepo na binadamu pori mpaka leo hii, ambao wanaishi kwa kuhama hama na kuwinda.​
 
Unasema wazungu hawapendi tuwe wagunduzi?
Sasa kama tuna akili ya kugundua wazungu wanahusikaje kwenye kupenda au kutokupenda?
Huo ndo upunguani anaouliza mleta mada. Kwanini waafrika tunategemea wazungu?
Watu wanapeleka lawama kwa wazungu mbona wachina wanatoboa angali wanawekewa vikwazo mno
Ukishindwa ww acha lawama waafrica ni wagunduzi pia
 
Back
Top Bottom