Hivi Waafrika hatuna akili?

Hivi Waafrika hatuna akili?

Viongozi wanatoka kwenye jamii.
Ukiona jamii inaviongozi walionyooka basi tambua kuwa hivyo ndivyo ilivyo jamii hiyo kwa kiasi kikubwa ukiona jamii ina viongozi wapuuzi wapuuzi na hivyo ndivyo ilivyo jamii nzima kwa kiasi kikubwa.

Afrika wamejaa watu wajinga wajinga wenye low IQ uthibitisho hata humu na mada zilizojaa humu za kipuuzi puuzi tu.
Sio kwamba tuna low IQ. Mitazamo ndo changamoto mfano huku TZ mtu akiwa katika sekta fulani mfano TRA anawaza kujitajirisha tu ila wachina wanajituma na sio kama China hakuna wapigaji ila mifumo yao haibembelezi wapigaji unaweza pewa hukumu ya kifo.
 
Hahahahahaha tunatia aibu😃😃😃
BLACK LIVES MATTER 🌚
 
Hayo mambo ya ngozi nani kayazungumzia hapa ?

Unandika ujinga sijui hata kama unasoma unavyoa andika.
Kwahio ulimaanisha Africa as a Continent which means hata Elon Musk na yeye ni Muafrica, so in that case tunamuweka katika kundi gani ?

Nimeongelea Eugenics as a whole ndio kuna hizo imani kwamba kuna some superior and inferior beings wakati kumbe its all about mazingira.... na kila mtu anakuja as a Clean Slate...., Tabula Rasa.., And as of now tumezungukwa na watu kama wewe wanaodhani hatuwezi hence it's going to get worse before it gets better...
 
Sio kwamba tuna low IQ. Mitazamo ndo changamoto mfano huku TZ mtu akiwa katika sekta fulani mfano TRA anawaza kujitajirisha tu ila wachina wanajituma na sio kama China hakuna wapigaji ila mifumo yao haibembelezi wapigaji unaweza pewa hukumu ya kifo.
Kwanini hutaki kukubali kuwa uwezo wetu wa akili ni mdogo!!?
 
Ba
FBI ni kazi inayohitaji watu wenye akili sana unakuta tukio la uhalifu limetokea bila ya kuachwa ushahidi wowote lakini mtu anaweza kuanalyse ile crime scene vizuri na kujua yaliyotokea hatua kwa hatua.
Bado hujanishawishi kivile🙁
 
Ila "civilisations rise and fall". Mfano ugiriki ilikuwa ni taifa lenye nguvu kuwahi kutokea yenye magenius kama Archmedes na Pythagoras lakini leo iko wapi ukija kwa Marekani ilikuwa na red Indians wasiokuwa na maajabu lakini leo inatesa. Wacha inyeshe tuone panapo vuja.
 
Kwahio ulimaanisha Africa as a Continent which means hata Elon Musk na yeye ni Muafrica, so in that case tunamuweka katika kundi gani ?

Nimeongelea Eugenics as a whole ndio kuna hizo imani kwamba kuna some superior and inferior beings wakati kumbe its all about mazingira.... na kila mtu anakuja as a Clean Slate...., Tabula Rasa.., And as of now tumezungukwa na watu kama wewe wanaodhani hatuwezi hence it's going to get worse before it gets better...
Kwamba kipindi cha utoto ulikuwa sawa na Isaac Newton au Nikola?
 
Mimi naamini akili tunazo lakini hakuna kusupportiana huku Africa. Mfano huku Tz kuna maengineer lakini mpaka leo barabara zetu wanajenga wachina.
Kaangalie kituko cha barabara huko Kigoma walichofanya hao ma engineer wazawa, ndio utajua sisi bado tunasafari ndefu
 
Sokwe, tumbili, nyani n.k wanatofautiana kwenye kufikiria; hata sisi binadamu kutokana na mionekano yetu, pia tunatofautiana kwenye uwezo wa kufikiri.

Ukijiuliza swali, weupe au weusi unasababishwa na nini, na ina athari gani katika kufikiria, tunaweza tusifikie muafaka.

Kama binadamu wote tungekuwa sawa, kusingekuwepo na binadamu pori mpaka leo hii, ambao wanaishi kwa kuhama hama na kuwinda.​
Wewe una hoja.

Utafika mbali✊🤩
 
Ila "civilisations rise and fall". Mfano ugiriki ilikuwa ni taifa lenye nguvu kuwahi kutokea yenye magenius kama Archmedes na Pythagoras lakini leo iko wapi ukija kwa Marekani ilikuwa na red Indians wasiokuwa na maajabu lakini leo inatesa. Wacha inyeshe tuone panapo vuja.
Ugiriki unaweza kuifananisha na nchi gani hapa Afrika ?
 
Kwahio ulimaanisha Africa as a Continent which means hata Elon Musk na yeye ni Muafrica, so in that case tunamuweka katika kundi gani ?

Nimeongelea Eugenics as a whole ndio kuna hizo imani kwamba kuna some superior and inferior beings wakati kumbe its all about mazingira.... na kila mtu anakuja as a Clean Slate...., Tabula Rasa.., And as of now tumezungukwa na watu kama wewe wanaodhani hatuwezi hence it's going to get worse before it gets better...
Unaandika ujinga tu
 
Kwanini hutaki kukubali kuwa uwezo wetu wa akili ni mdogo!!?
Kama unahisi una low IQ hilo ni tatizo lako usitujumuishe sote. Wapo watu weusi kama Ben Carson na Lewis Latimer walioishangaza dunia wagoogle kama huwajui.
 
Sitaki kuamini kwamba zamani Waafrika walikuwa na akili zaidi ya historia tuu.
Ila "civilisations rise and fall". Mfano ugiriki ilikuwa ni taifa lenye nguvu kuwahi kutokea yenye magenius kama Archmedes na Pythagoras lakini leo iko wapi ukija kwa Marekani ilikuwa na red Indians wasiokuwa na maajabu lakini leo inatesa. Wacha inyeshe tuone panapo vuja.
 
Back
Top Bottom