GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mimi nilidhani Mtu fulani kutokana Umaarufu wake na Kujimwambafai Kwake angezikwa na Maelfu ila nimesikitika sana kuona ameandikwa kuwa amezikwa na Mamia tu.
Jamani tutumie Umaarufu wetu kwa kuwa karibu na Watu hasa wa Kawaida (chini kama akina siye GENTAMYCINE) ili hata SIku tukiondoka au mkiondoka Nyomi la kwenda Kutuzika / Kuwazika liwe ni Kubwa na siyo hili la Watu Mamia ambalo linaonyesha kuwa hukuwa sana Mtu wa Watu au hujihusianishi na Watu katika Jamii yako.
Jamani tutumie Umaarufu wetu kwa kuwa karibu na Watu hasa wa Kawaida (chini kama akina siye GENTAMYCINE) ili hata SIku tukiondoka au mkiondoka Nyomi la kwenda Kutuzika / Kuwazika liwe ni Kubwa na siyo hili la Watu Mamia ambalo linaonyesha kuwa hukuwa sana Mtu wa Watu au hujihusianishi na Watu katika Jamii yako.