Hivi Wabunge kushangilia timu ya Soka ya nje ni sawa, tena ndani ya Bunge

Hivi Wabunge kushangilia timu ya Soka ya nje ni sawa, tena ndani ya Bunge

Jumatatu iliyopita Wabunge ambao waliripotiwa kuwa ni mashabiki was Yanga waliingia Bungeni wakiwa na bashsha

Bila kuficha furaha yao walinyoosh vidole vyo juu wakiashiria kufurahia kipigo ilichokipata Simba mbele ya Kaiser ya Afrika kussini.

Nilijiuliza maswali mengi kwa tukio like lissilo rassmi ndanibya Binge.

Huu ni utani wa aina gani huu, mnona kama umepitiliza.

Nafikri utani no kitu Cha kawaaid lakini Aina hii ya utani ...umepitiliza.

Kwangu Mimi ni kielelezo Cha kukosa Uzalendo.

Yukiendelea hivi siku moja tutamkuta Rais yupo Taifa anashangilia Gor Mahia ikicheza na Yanga.

Hio sio kitu kingine ni ujuha!
Demokrasia ina ruhusu mtu kufanya chochote ambacho hakivunji haki za wengine na hakivunji sheria za nchi.

Sasa mimi kushabikia Kaiza Chiefs wewe kunakuuma nini ?
 
Bora niishi nchi ambayo haina wazalendo kuliko nchi inayowapangia watu maisha / taste zao..., Hio ni dictatorship..., By the way uzalendo haulazimishwi bali unakuja kutokana na wahusika kuona / ku-feel they are part of their country
 
Demokrasia ina ruhusu mtu kufanya chochote ambacho hakivunji haki za wengine na hakivunji sheria za nchi.

Sasa mimi kushabikia Kaiza Chiefs wewe kunakuuma nini ?
Kumbuka hapa tunaongelea Wabunge na kitendo hiki kimefnyika ndani ya Binge! Sidhni Kama kitu cha kishmba kama hiki kinaweza kuafa yika nchi nyingine ...hii n Tz tu
 
Kumbuka hapa tunaongelea Wabunge na kitendo hiki kimefnyika ndani ya Binge! Sidhni Kama kitu cha kishmba kama hiki kinaweza kuafa yika nchi nyingine ...hii n Tz tu
Kaa vizuri dawa iingie
 
Yeye mwenyewe anajua kama alikuwa tapeli na mwizi tu. Angekuwa hai alitakiwa kuwa The Hague kwa mauaji
Nadhani wewe, baba yako na mama yako ndio wezi na matapeli...bill shaka ulikuwa unakwapua Mali za umma, au hukuwa na vyeti vya elimu yako na inawezekana ulikuwa hulipi Kodi wakati wake au ni dalali unaywaibia watu kwa utapeli
 
Nadhani wewe, baba yako na mama yako ndio wezi na matapeli...bill shaka ulikuwa unakwapua Mali za umma, au hukuwa na vyeti vya elimu yako na inawezekana ulikuwa hulipi Kodi wakati wake au ni dalali unaywaibia watu kwa utapeli
wizi wa baba na mama yangu haumsafishi magufuli. mngemsaidia sana kama.mngemshauri atubu kabla hajafa
 
Mzalendo nchi Hii alikuwa ni mmoja tu...alikuwa ni JPM
Eti "Mzalendo nchi Hii alikuwa ni mmoja tu...alikuwa JPM" 🤭Huyu alikuwa ni Dikteta tu Uchwara. Hana sifa za kuitwa Mzalendo. Ungemtaja Mwl. Julius Kambarage Nyerere, ningekuelewa.
 
Kwanza bunge gani unaloongelea ndugu. Ama hiki kikao cha CCM. Kama ndio hao hakuna ubaya ni kikao cha umbea na kusutana wakiongozwa na kungwi mkuu Ndugai.
 
Jumatatu iliyopita Wabunge ambao waliripotiwa kuwa ni mashabiki was Yanga waliingia Bungeni wakiwa na bashsha

Bila kuficha furaha yao walinyoosh vidole vyo juu wakiashiria kufurahia kipigo ilichokipata Simba mbele ya Kaiser ya Afrika kussini.

Nilijiuliza maswali mengi kwa tukio like lissilo rassmi ndanibya Binge.

Huu ni utani wa aina gani huu, mnona kama umepitiliza.

Nafikri utani no kitu Cha kawaaid lakini Aina hii ya utani ...umepitiliza.

Kwangu Mimi ni kielelezo Cha kukosa Uzalendo.

Yukiendelea hivi siku moja tutamkuta Rais yupo Taifa anashangilia Gor Mahia ikicheza na Yanga.

Hio sio kitu kingine ni ujuha!
Wanawashwa hao
 
🤣🤣🤣 chuma?! labda chuma cha kuiba kwa gia ya uzalendo. ameshakufa sasa,nenda kamfufue au ungezikwa naye. Hakuna jitu jizi kama huyo,alichofanikiwa ni kuzuia wengi wasiibe ili yeye na kina Kakoko waibe bila tabu. Huniambii kitu
Brain of a moron
 
Back
Top Bottom