Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,770
- 5,423
Mimi ni mfuatiliaji wa mabunge mbalimbali duniani.
Katika mabunge makini ninayoyafuatilia huo naona panapofanyika mawasilisho (submissions),Wabunge huwa watulivu na wenye kutafakari mambo (digest issues).
Sisi wabunge wetu hapo ni kupiga meza (makofi),kucheka na hata kuimba muda wote! Do we real have serious and competent MPs as a Country? Or group of mediocres paid to represent their stomaches?
Bajeti tegemezi,Serikali inakopa hadi Wananchi tunaogopa lakini Wabunge wetu ni vicheko hadi meno 32 yote yako nje!
Hii Nchi siyo bure kuna shida mahali.
Haiwezekani tuwe na rasilimali nyingi hivi lakini tuwe na watu " mandondocha" hivi.
Katika mabunge makini ninayoyafuatilia huo naona panapofanyika mawasilisho (submissions),Wabunge huwa watulivu na wenye kutafakari mambo (digest issues).
Sisi wabunge wetu hapo ni kupiga meza (makofi),kucheka na hata kuimba muda wote! Do we real have serious and competent MPs as a Country? Or group of mediocres paid to represent their stomaches?
Bajeti tegemezi,Serikali inakopa hadi Wananchi tunaogopa lakini Wabunge wetu ni vicheko hadi meno 32 yote yako nje!
Hii Nchi siyo bure kuna shida mahali.
Haiwezekani tuwe na rasilimali nyingi hivi lakini tuwe na watu " mandondocha" hivi.