Rayvanny wa jamiiForums
Senior Member
- Apr 7, 2023
- 132
- 351
Hivi wadada bora kupata mwanaume mwenye mapenzi ya kweli au kupata mwanaume mwenye hela?
Hebu funguka unachagua nini?
#nyumayapazia
Hebu funguka unachagua nini?
#nyumayapazia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmebaki wachache sana, kuna wewe na wenzio wanne sijuiHela kitu gani zinatafutwa,mwenye mapenzi tele ndio mpango mzima
Ndio mtutunze Sasa!Mmebaki wachache sana, kuna wewe na wenzio wanne sijui
Mnapatikana wapi kwani maana kuwapata ni kazi sanaNdio mtutunze Sasa!
Ngomeni,Kimara TemboniMnapatikana wapi kwani maana kuwapata ni kazi sana
Hio kweli inapatikanaje bila pesa.Hela kitu gani zinatafutwa,mwenye mapenzi tele ndio mpango mzima
Sasa mi nipo huku ikwiriri si nishapishana na bahatiNgomeni,Kimara Temboni
Dar Hadi Ikwiriri haizidi elfu 10....Sasa mi nipo huku ikwiriri si nishapishana na bahati
Lakini kiuhalisia hamko hivyoHela kitu gani zinatafutwa,mwenye mapenzi tele ndio mpango mzima
Mi Niko hivyo,ndio nilivyoLakini kiuhalisia hamko hivyo
Kuipata elfu 10 ikwiriri ni mziki 😁Dar Hadi Ikwiriri haizidi elfu 10....
Pole,mwambie konda akupe lift utanikuta stend nitakulipia.......ila ungevua samaki sidhani kama ungekosa nauliKuipata elfu 10 ikwiriri ni mziki 😁
😂 stendi ipi, samaki hazipo kwa wingi kwa sasa.Pole,mwambie konda akupe lift utanikuta stend nitakulipia.......ila ungevua samaki sidhani kama ungekosa nauli