Dadamtu
JF-Expert Member
- Sep 10, 2023
- 502
- 1,093
Stend ya Mbagala...utanikuta pale pembeni wanauza bagia๐๐๐๐ stendi ipi, samaki hazipo kwa wingi kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stend ya Mbagala...utanikuta pale pembeni wanauza bagia๐๐๐๐ stendi ipi, samaki hazipo kwa wingi kwa sasa.
Sawa nitafanya hvyo nikifika tutakula bagia utakazo ๐Stend ya Mbagala...utanikuta pale pembeni wanauza bagia๐๐๐
Kwq hiyo Hela ya bagia unayo?kumbe unanitapeli wewe๐๐๐Sawa nitafanya hvyo nikifika tutakula bagia utakazo ๐
Bagia si bei rahisi hata ukila 20 nalipa ๐Kwq hiyo Hela ya bagia unayo?kumbe unanitapeli wewe๐๐๐
Siwezi kuamini haya maneno yanatoka kwako[emoji24][emoji24][emoji24]Hela kitu gani zinatafutwa,mwenye mapenzi tele ndio mpango mzima
Nile bagia za 4000๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃbasi hiyo itunze,ukifika nitatop 6000...Bagia si bei rahisi hata ukila 20 nalipa ๐
Nauli ndio utalipia nkifika stendi
Hongera sana dada mwaju.Wanawake wenye mapenzi ya kweli wapo wengi (Nikiwa mmoja wao) tatizo lilianzia kwa wanaume usaliti na uchepukaji, unavulimia mtu mwisho akipata anawapanga foleni wengine zaidi ya kumi
Maumivu ya kusalitiwa +muda mwanamke aliopoteza bila kusahau machungu ya kuvumilia mbivu ambazo mwisho zikaoza ndio vimefanya wanawake wengi leo hii hawajali kuhusu mapenz ya kweli zaidi ya pesa tena sio kujali tu hawataki hata kumnusu mwanaume asie na pesa bora kulia kwenye range rover kuliko kwenye baiskeli ndio Kauli mbiu maana wanaume wote tumeshawaweka kwenye group moja Haijalishi anacho au hana
๐pesa itahusika hapaNdio mtutunze Sasa!
๐๐๐๐money is everywhere๐pesa itahusika hapa
๐๐๐๐๐๐๐๐money is everywhere
Ndio mtutunze Sasa!