Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
π usinifanyie hivyo mama sasa utanikumbuka kwa kipi?Nile bagia za 4000π€£π€£π€£π€£basi hiyo itunze,ukifika nitatop 6000...
Ndio unilishe bagia za elfu nne!π usinifanyie hivyo mama sasa utanikumbuka kwa kipi?
ndio ntakusapraizi na mihogo pia πNdio unilishe bagia za elfu nne!
Eeeeh kweli we utakuwa mgeni rasmi kutoka Ikwiririπ₯²π₯²π₯²π₯²ππππππndio ntakusapraizi na mihogo pia π
Utaniona nikiwa nimevalia suti aina ya za kina we misso missondo umepigaje apoπEeeeh kweli we utakuwa mgeni rasmi kutoka Ikwiririπ₯²π₯²π₯²π₯²ππππππ
Ila chamoto nitakiona na huyo mgeniπππUtaniona nikiwa nimevalia suti aina ya za kina we misso missondo umepigaje apoπ
mgeni hana shida, shida ni mazingira πIla chamoto nitakiona na huyo mgeniπππ
Mmh kama ndio anaingia vile ki misso missondo hatari...mgeni hana shida, shida ni mazingira π
Chagua mwenye vyote...
Kabeeeeeesa boss!!Chagua mwenye vyote...
Japo maisha siyo kutesa Kila siku ila pesa ndiyo kila kitu...
Si unapenda? Nafanya hivyo kwa ajili yako πMmh kama ndio anaingia vile ki misso missondo hatari...