Hivi wadada siku hizi wameshaolewa wote, maana kila ninayegusa ananiambia ana wake?

Hivi wadada siku hizi wameshaolewa wote, maana kila ninayegusa ananiambia ana wake?

Aisatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
781
Reaction score
333
Habari wakuu,

Wadau wajukwaa lipendwalo na wengi naomba tusaidiane hapa maana sijui ni mkosi au nimefungwa na my wife. Hivi wadada siku hizi wameshaolewa wote,maana kila ninayegusa ananiambia ana wake. Nimewatokea zaidi ya wa3 wote wanasema wana watu wao,sasa najiuliza ukilinganisha idadi ya wanawake na wanaume,wanawake ndo wengi zaidi,najiuliza sijui ni mbinu ya kukwepa au nimefanyiwa manyanga.

Ebu tupeane uzoefu hapa au ni mim pekee yangu nazinguliwa.?
 
Mkuu, mwanaume kukubali kukataliwa ni udhaifu mkubwa sana aiseeee..... kumbuka kwamba moja ya kazi ya mwanaume ni kuibadili akili ya mwanamke na kumshawishi kutokumuwaza mwingine zaidi yako wewe, na kamwe usije ukatarajia kwamba siku moja utakutana na mwanamke na akwambie eti hana mtu, yaani hayupo kwenye mahusiano.
Lakini kama unae mke, ebu baki jia kubwa tu mkuu
 
Mkuu hizo takwimu umetoa wapi?? Wanawake ndo wengi ndo mana ndugu zangu waislamu wanaoa hadi wanawake wanne ili kila mwanamke aolewe.
Hapana, kwa Reference Ndogo nenda wikipedia Wanaume tu wengi kuliko Wanawake!
 
Siku hz wanawake hawatongozwi mkuu. Katka hao watatu uliowatongoza wakakataa mjarb mmoja kwenda lunchi au dinner. Mkae huko mle na mnywe halaf uje unipe jibu kimetokea nini
 
Siku hz wanawake hawatongozwi mkuu. Katka hao watatu uliowatongoza wakakataa mjarb mmoja kwenda lunchi au dinner. Mkae huko mle na mnywe halaf uje unipe jibu kimetokea nini
Nampango wakupanga cku tukutane nione.
 
Hata biology inakataa hichi ulichokiandika!

Unless siku hizi kuna wanawake wana x y chromosomes!
kweli vijana Mmekuwa wavivu saana, Jambo dogo kama hili Mnalibishania? Nenda Wikipedia.com
 
Mkuuu wife yuko mbali sana kukutana kila baada ya 2 month,sasa kwa mwanaume ni ngumu sana kukaa hivihivi
Aisee pole sana, kama dini inaruhusu sogeza mwengine tu.
 
kweli vijana Mmekuwa wavivu saana, Jambo dogo kama hili Mnalibishania? Nenda Wikipedia.com
Yaani hata kwa macho ya kawaida tu hapo mtaani kwako!

Haijawahi tokea wanaume tuwe wengi kuliko wanawake
 
Umetongoza watatu wakakuchomolea kwa staili hiyo, ukaamua kugeneralize kua ni tabia ya wote?

Man up!
 
Umetongoza watatu wakakuchomolea kwa staili hiyo, ukaamua kugeneralize kua ni tabia ya wote?

Man up!
Mkuu sijazoe kuchomolewa hivyo,sijui ni mazingira ya huku niliko
 
Yaani hata kwa macho ya kawaida tu hapo mtaani kwako!

Haijawahi tokea wanaume tuwe wengi kuliko wanawake
In a study around 2002, the natural sex ratio at birth was estimated to be close to 1.06 males/female.
 
Back
Top Bottom