Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sitaki nataka hiyo mkuu,we wakikuambia hivyo we komaa tu,wanajifanyaga hawapendi kumbe wanapenda hao..Habari wakuu,
Wadau wajukwaa lipendwalo na wengi naomba tusaidiane hapa maana sijui ni mkosi au nimefungwa na my wife. Hivi wadada siku hizi wameshaolewa wote,maana kila ninayegusa ananiambia ana wake. Nimewatokea zaidi ya wa3 wote wanasema wana watu wao,sasa najiuliza ukilinganisha idadi ya wanawake na wanaume,wanawake ndo wengi zaidi,najiuliza sijui ni mbinu ya kukwepa au nimefanyiwa manyanga.
Ebu tupeane uzoefu hapa au ni mim pekee yangu nazinguliwa.?
Uko sawa Mkuu wanaume ni wengi zaidi ya wanawakeHapana, kwa Reference Ndogo nenda wikipedia Wanaume tu wengi kuliko Wanawake!
Upo sahihi kabisa na ndivyo ilivyoHipo hivi wanaume ndo wanao zaliwa wengi kuliko wanawake kwa ratio ya 105 males kwa 100 females. Ila wanaume wapo katika high risk ya kuugua na kufa. Hii inamanisha wanaume wengi hufa wakiwa bado watoto hadi kupelekea idadi ndogo ya wanaume. Ndo mana wanaume ni wachache kiliko wanaume. Reference WHO population report
Huna hata aibu? Data za 2002 unazifanyia reference 2018?In a study around 2002, the natural sex ratio at birth was estimated to be close to 1.06 males/female.
Simple and clear, HUNA HELA NDIO MAANA WANAKUKATAA hahahahaha!Pole sana, tulia tu na wife wako ambae kakupenda na umasikini wakoHabari wakuu,
Wadau wajukwaa lipendwalo na wengi naomba tusaidiane hapa maana sijui ni mkosi au nimefungwa na my wife. Hivi wadada siku hizi wameshaolewa wote,maana kila ninayegusa ananiambia ana wake. Nimewatokea zaidi ya wa3 wote wanasema wana watu wao,sasa najiuliza ukilinganisha idadi ya wanawake na wanaume,wanawake ndo wengi zaidi,najiuliza sijui ni mbinu ya kukwepa au nimefanyiwa manyanga.
Ebu tupeane uzoefu hapa au ni mim pekee yangu nazinguliwa.?
nenda vyuoni utawapata walioko single ila wana vijamaa viwanafunzi vyenzao na wanakupa kama kawa mpunga wako tuHabari wakuu,
Wadau wajukwaa lipendwalo na wengi naomba tusaidiane hapa maana sijui ni mkosi au nimefungwa na my wife. Hivi wadada siku hizi wameshaolewa wote,maana kila ninayegusa ananiambia ana wake. Nimewatokea zaidi ya wa3 wote wanasema wana watu wao,sasa najiuliza ukilinganisha idadi ya wanawake na wanaume,wanawake ndo wengi zaidi,najiuliza sijui ni mbinu ya kukwepa au nimefanyiwa manyanga.
Ebu tupeane uzoefu hapa au ni mim pekee yangu nazinguliwa.?
acha unafiki kwani wewe hupigi game za nje?Sasa kama una mke hao wengine wa nn Mkuu.
unafiki upo wapi kwenye hiyo comment?acha unafiki kwani wewe hupigi game za nje?
wewe ni Mpumbavu kwelii, Unataka upewe stats zipi? Pinga kwa stats zangu Fala weweHuna hata aibu? Data za 2002 unazifanyia reference 2018?
Sijui kama taifa tumekosea wapi kwenye hii elimu yetu.
Unafiki ni pale unapomshauri mtu afanye kitu ambacho hata wewe huwezi kukifanya (kuwa na mkeo tu bila mchepuko)unafiki upo wapi kwenye hiyo comment?
unauhakika gani kama mm nafanya hivyo Mkuu?. Nimemshauri hivyo kwani ajiri ya afya ya ndoa na familia yake.Unafiki ni pale unapomshauri mtu afanye kitu ambacho hata wewe huwezi kukifanya (kuwa na mkeo tu bila mchepuko)
HahahaHabari wakuu,
Wadau wajukwaa lipendwalo na wengi naomba tusaidiane hapa maana sijui ni mkosi au nimefungwa na my wife. Hivi wadada siku hizi wameshaolewa wote,maana kila ninayegusa ananiambia ana wake. Nimewatokea zaidi ya wa3 wote wanasema wana watu wao,sasa najiuliza ukilinganisha idadi ya wanawake na wanaume,wanawake ndo wengi zaidi,najiuliza sijui ni mbinu ya kukwepa au nimefanyiwa manyanga.
Ebu tupeane uzoefu hapa au ni mim pekee yangu nazinguliwa.?