Hivi wadada siku hizi wameshaolewa wote, maana kila ninayegusa ananiambia ana wake?

Hivi wadada siku hizi wameshaolewa wote, maana kila ninayegusa ananiambia ana wake?

In a study around 2002, the natural sex ratio at birth was estimated to be close to 1.06 males/female.
Ok mkuu

Ngoja niendelee kuutafuta ukweli nje ya hapa!

Lakini ukienda hata hospitali na mashuleni au vyuoni utaona population kubwa ni Ke labda wanakufa sana!
 
kweli vijana Mmekuwa wavivu saana, Jambo dogo kama hili Mnalibishania? Nenda Wikipedia.com
Hipo hivi wanaume ndo wanao zaliwa wengi kuliko wanawake kwa ratio ya 105 males kwa 100 females. Ila wanaume wapo katika high risk ya kuugua na kufa. Hii inamanisha wanaume wengi hufa wakiwa bado watoto hadi kupelekea idadi ndogo ya wanaume. Ndo mana wanaume ni wachache kiliko wanaume. Reference WHO population report
 
Ok mkuu

Ngoja niendelee kuutafuta ukweli nje ya hapa!

Lakini ukienda hata hospitali na mashuleni au vyuoni utaona population kubwa ni Ke labda wanakufa sana!
Ndiyo iko hivyo, labda criterion ya kutumia hapa ni kwamba kuna Nchi zina Jinsia Moja yenye watu wengi kuliko ingine
 
Mkeo nae anawaambia wanaume hivyohivyo siku ww ukipata nayeye anapata
 
Hakuna manyanga, wala manyangau. Wewe shukuru malaika wa Mungu wanajaribu kukutoa kwenye matatizo kwa nguvu hata kama hutaki halafu wewe umeoa kwa nini usitulie ujenge ndoa yako bwana mdogo, kalamu mbili zilimshinda fisi.
 
Siku hz wanawake hawatongozwi mkuu. Katka hao watatu uliowatongoza wakakataa mjarb mmoja kwenda lunchi au dinner. Mkae huko mle na mnywe halaf uje unipe jibu kimetokea nini
Fanya.ivi tenaa na tenaaa, afu rudia tenaa ukikataliwa endelea kurudia [emoji14]
 
Habari wakuu
Wadau wajukwa lipendwalo na wengi naomba tusaidiane hapa maana cjui ni mkosi au nimefungwa na my wife.Niende moja kwa moja kwenye heading,hiv wadada sikuhiz wameshaolewa wote,maana kila ninayegusa ananiambia ana wake nimewatokea zaidi ya wa3 wote wanasema wana watu wao,sasa najiuliza ukilinganisha idadi ya wanawake na wanaume,wanawake ndo wengi zaidi,najiuliza sijui ni mbinu ya kukwepa au nimefanyiwa manyanga,ebu tupeane uzoefu hapa au ni mim pekee yangu nazinguliwa.?
Hata kutongoza unataka kufundishwa, we hujaanza mahusiano unamuuliza kama hana mtu unazani atakwambia hana!!! Lazima aseme anae ili akutie wazimu uongeze nguvu ya kumweka karibu na wewe.
 
Habari wakuu
Wadau wajukwa lipendwalo na wengi naomba tusaidiane hapa maana cjui ni mkosi au nimefungwa na my wife.Niende moja kwa moja kwenye heading,hiv wadada sikuhiz wameshaolewa wote,maana kila ninayegusa ananiambia ana wake nimewatokea zaidi ya wa3 wote wanasema wana watu wao,sasa najiuliza ukilinganisha idadi ya wanawake na wanaume,wanawake ndo wengi zaidi,najiuliza sijui ni mbinu ya kukwepa au nimefanyiwa manyanga,ebu tupeane uzoefu hapa au ni mim pekee yangu nazinguliwa.?
In short, hauna mvuto, shapeless, mwonekano wako siyo mzuri, approach yako ni mbovu sana, ndo maana wanakutolea nje
 
Why una mke na bado unataka kuchepuka?
Wacha hiyo kitu mkuu. Unailetea ndoa yako balaa mambo yataanza kubadilika na wife achepuke.
Every action there is equal and oppositr reaction.

Anyway change swaga zako, inaonekana una approach kimaskin sana ndio maana wanakutolea nje.

Habari wakuu
Wadau wajukwa lipendwalo na wengi naomba tusaidiane hapa maana cjui ni mkosi au nimefungwa na my wife.Niende moja kwa moja kwenye heading,hiv wadada sikuhiz wameshaolewa wote,maana kila ninayegusa ananiambia ana wake nimewatokea zaidi ya wa3 wote wanasema wana watu wao,sasa najiuliza ukilinganisha idadi ya wanawake na wanaume,wanawake ndo wengi zaidi,najiuliza sijui ni mbinu ya kukwepa au nimefanyiwa manyanga,ebu tupeane uzoefu hapa au ni mim pekee yangu nazinguliwa.?
 
Habari wakuu
Wadau wajukwa lipendwalo na wengi naomba tusaidiane hapa maana cjui ni mkosi au nimefungwa na my wife.Niende moja kwa moja kwenye heading,hiv wadada sikuhiz wameshaolewa wote,maana kila ninayegusa ananiambia ana wake nimewatokea zaidi ya wa3 wote wanasema wana watu wao,sasa najiuliza ukilinganisha idadi ya wanawake na wanaume,wanawake ndo wengi zaidi,najiuliza sijui ni mbinu ya kukwepa au nimefanyiwa manyanga,ebu tupeane uzoefu hapa au ni mim pekee yangu nazinguliwa.?
Wanawake ni wengi sana, na pia hukupaswa kuanza kulalamika kwa kuwatokea wadada wa3 pekee, ulipaswa kuwatokea km 20 hv au 60 ndio uj kulalamika. Siku zote usikubali kupata matokeo yaliyo chini ya 70% hivyo ni lazima upitie idadi kubwa ya wadada ili kujihakikishia hilo, zaidi ya hapo wewe ni dhaifu
 
Nina takrban miaka 7 cjawh tongoza ila nakula mzgo kwa nimtamanie ckuiz hakuna ktongoza wanaotongoza ni watoto wa shule tuu mkuu.
 
Jenga ndoa yako achana na mambo ya kivulanavulana. Haya ni maswali wanaulizana watoto wa Primary.
 
Back
Top Bottom