King_mwanamalundi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2019
- 373
- 558
Yani maelezo meeeeengiiii halafu unaandika upuuzi tupu. Nadhani majibu ya wadau yametosha kukutoa ujinga.Ngoja nikufundishe polepole utaelewa inavyoonekana wewe una uwezo mdogo wa kujiongeza unaishi kwa kukariri,ukishaona kichwa chako kipo hivyo wewe hufai kuwa mfanyabiashara maana biashara haikubembelezi ukibweteka utaa
mbulia sifuri na wenzako wanauza kama kawaida.
Haya chukulia mama ntilie alikuwa ananunua mchele kwa mangi kwa bei ya 1800 kwa kilo moja wewe unaenda kumwambia nitakuuzia kwa 1600 hii nayo hadi upelekwe shule kujiongeza?
Mchele wa 1,800 ukipata 200 ni biashara haswa. Sasa kumshauri atoe faida si atakuwa anafanya biashara kichaa. Na itakuwa ni kutangaza vita vya angani, majini na nchi kavu kwa mpinzani wake.
Bora mara mia ushauri uweke bidhaa kama mafuta ya kupikia, sukari, chumvi nk kama mpinzani wake hana ili kuwavuta mamantilie. Afu aviuze kwa bei ya chini kidogo.