Nipo katika likizo ya kiajira, hivo basi nimeona nitumie likizo yangu kuchangamsha ubongo kwa hoja nyepesi nyepesi.
Nipo hapa maskani kwangu nikitazama wasafi tv wakati huo huo nikitembelea kurasa mbalimbali za macebrity wa kibongo huku nikiji update kuhusu story mbalimbali zinazo trend town.
Nikiwa katika mitandao ya kijamii, nakutana na baadhi ya picha za watangazaji mbalimbali wa clouds radio/tv.
Baada ya kuunganisha dot, nagundua picha zao japo zimepigwa nyakati tofauti tofauti,zote zimepigwa katika eneo moja katika jengo lao.
Nimejiuliza, ina maana jengo la clouds ni dogo sana au lina uhaba wa eneo kubwa kiasi kwamba watangazi hao wapige picha eneo hilo hilo kila siku?
Watangazi wa clouds, nauliza , hapo nyuma kwenye huo mnara panawavutia nini karibuni tujadili hoja ya kikuda hoja nyepesi.
hizi ni baadhi tu ya picha.
View attachment 736025View attachment 736026View attachment 736027View attachment 736028View attachment 736030View attachment 736032