Hivi wafanyakazi wa Clouds radio/tv hamna sehemu nyingine ya kujipiga picha?

Hivi wafanyakazi wa Clouds radio/tv hamna sehemu nyingine ya kujipiga picha?

26275982_2034701240104330_5091253648562847744_n.jpg
 
Duh hii nayo ni hoja ya kufungulia uzi mkuu.??mbona tunafatilia sana maisha ya watu??
 
Sema kuna mavazi mengine asee sio sawa kwa mwanaune huyo Jamaa alovaa kipensi hivi anajihisi poa kabisa!!mwanaumenkuachia mapaja namba hiyo lazima ukikutana na mtu anaejua kutupa ndoano vizuri hata kama sio Tabia zako unaweza kugawa jicho.
Huyo ni martin kadinda mkuu... Usiumize kichwa
 
Litakua limetengwa eneo maalum kwajili ya picha..
 
Ukiingia clouds mzee ni sawa na kuingia jengo la CAG linaitwa pale Samora....ni kuukuu, chafu sana afu ndani giza kinoma
2017-07-28.jpg
 
nakupataje kadoda pm umefunga
kadoda11
pole saba amu.
pm niliifunga siku nyingi sana.
samahani kwa usumbufu.ila usijari, nitaifungua hivi karibuni only for you na kuifunga tena immediately.
 
Sema kuna mavazi mengine asee sio sawa kwa mwanaune huyo Jamaa alovaa kipensi hivi anajihisi poa kabisa!!mwanaumenkuachia mapaja namba hiyo lazima ukikutana na mtu anaejua kutupa ndoano vizuri hata kama sio Tabia zako unaweza kugawa jicho.
Aiseee
 
Back
Top Bottom