Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna la kukatia gogo na haya ya kukodoa wakati tujijiselfie! Ila jicho kuu ni moja!we si umesema jicho kwani jicho huwa yako mangapi?
Huyo ni martin kadinda mkuu... Usiumize kichwaSema kuna mavazi mengine asee sio sawa kwa mwanaune huyo Jamaa alovaa kipensi hivi anajihisi poa kabisa!!mwanaumenkuachia mapaja namba hiyo lazima ukikutana na mtu anaejua kutupa ndoano vizuri hata kama sio Tabia zako unaweza kugawa jicho.
hahaha haya bhana mkuuKuna la kukatia gogo na haya ya kukodoa wakati tujijiselfie! Ila jicho kuu ni moja!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiingia clouds mzee ni sawa na kuingia jengo la CAG linaitwa pale Samora....ni kuukuu, chafu sana afu ndani giza kinoma
View attachment 745892
nipm mimi iko wazi yako usifunguepole saba amu.
pm niliifunga siku nyingi sana.
samahani kwa usumbufu.ila usijari, nitaifungua hivi karibuni only for you na kuifunga tena immediately.
AiseeeSema kuna mavazi mengine asee sio sawa kwa mwanaune huyo Jamaa alovaa kipensi hivi anajihisi poa kabisa!!mwanaumenkuachia mapaja namba hiyo lazima ukikutana na mtu anaejua kutupa ndoano vizuri hata kama sio Tabia zako unaweza kugawa jicho.