Hivi wagombea uongozi wa chadema ngazi ya taifa wana misimamo ipi na mikakati gani kuhusu suala la kupambana na kutokomeza ushoga nchini Tanzania?

so,
wagombea uongozi wa chadema Taifa hawana mikakati yoyote kuwasaidia hao vijanaa, right?

au na wao wanashiriki ufirauni huo na ni watetezi wa ufirauni?๐Ÿ’
 
Ushoga ni tatizo la kiroho na malezi; sio siasa; fool
Gentleman,
kwahiyo likitokea au ukilibaini kwa members wa familia yenu, members wa taasisi yenu ya kidini au members wa chama chenu cha siasa mnalifurahia sana, right?๐Ÿ’
 
Gentleman,
kwahiyo likitokea au ukilibaini kwa members wa familia yenu, members wa taasisi yenu ya kidini au members wa chama chenu cha siasa mnalifurahia sana, right?๐Ÿ’

Donโ€™t think of Ushoga hata; these are peoples choices, I donโ€™t care much; I protect watoto wangu vizuri, na kumwomba Mungu na kuwaombea wengine; but this will never be my priority !
 
Donโ€™t think of Ushoga hata; these are peoples choices, I donโ€™t care much; I protect watoto wangu vizuri, na kumwomba Mungu na kuwaombea wengine; but this will never be my priority !
so,
mtoto wako hachangamani na wengine wenye tabia nyingine ambazo huzijui, right?๐Ÿคฃ

kuna mambo hayahitaji ubinafsi gentleman, yanahitaji collective responsibilities,
bare in mind mafirauni, watoaji mimba na wasagaji wengi wametoka kwenye familia za waliokua wakijipiga kifua kama wewe, na wengine ni watoto wa spiritual leaders kabisa,

ni muhimu sana kuwepo na jitihada za makusudi kuanzia kwenye familia, taasisi za dini, taasisi za elimu, vyama vya siasa na Taifa kwa ujumla katika kukemea na kukataa uchafu huo ambao badhi ya wagombea uongozi hata katika uchaguzi wa chadema Taifa wana tetea uchafu huo kana kwamba ni haki ๐Ÿ’
 
so,
wagombea uongozi wa chadema Taifa hawana mikakati yoyote kuwasaidia hao vijanaa, right?

au na wao wanashiriki ufirauni huo na ni watetezi wa ufirauni?๐Ÿ’


Mgombea wa Chama gani aliwahi kuongea anything kuhusu au jamaa?

Serikali inaongea nini kuhusu hao jamaa?

Rais na serikali yake wanaongea nini?

Wizara Husika inaongea nini?
 
Nafikiri Tlaatlaaah kabla ya kusogeza swali hilo kwa chadema,ungeanzia Ccm kupitia BASATA ,ukipata majawabu yao ,sasa uje chadema uwaulize,hivi sisiemu walitengenezaje mamilionea kwa kuruhusu mmomonyoko mbaya zaidi wa kimaadili katika taifa letu.Bila shaka wakatihuo chadema wangekupa nini mtazamo wao.
 
CCM iliyopo nadarakani, imepambana vipi kutokomeza ushoga na usagaji hadi sasa?? Tuanzie kwanza hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ