Hivi wagombea uongozi wa chadema ngazi ya taifa wana misimamo ipi na mikakati gani kuhusu suala la kupambana na kutokomeza ushoga nchini Tanzania?

Hivi wagombea uongozi wa chadema ngazi ya taifa wana misimamo ipi na mikakati gani kuhusu suala la kupambana na kutokomeza ushoga nchini Tanzania?

Hao vijana walijiunga chadema wakiwa na miaka 3? Si wamejiunga wakiwa watu wazima?

Means walienda na hizo tabia zao so no one can change them

Makosa yalifanyika kwenye familia zao, sasa unataka chadema waseme kitu gani?

Kwani mwenyekiti wa ccm alisema kitu gani au ana utaratibu gani Kwa watu wa Aina hiyo ambao wapo ccm?
so,
wagombea uongozi wa chadema Taifa hawana mikakati yoyote kuwasaidia hao vijanaa, right?

au na wao wanashiriki ufirauni huo na ni watetezi wa ufirauni?🐒
 
Ushoga ni tatizo la kiroho na malezi; sio siasa; fool
Gentleman,
kwahiyo likitokea au ukilibaini kwa members wa familia yenu, members wa taasisi yenu ya kidini au members wa chama chenu cha siasa mnalifurahia sana, right?🐒
 
Gentleman,
kwahiyo likitokea au ukilibaini kwa members wa familia yenu, members wa taasisi yenu ya kidini au members wa chama chenu cha siasa mnalifurahia sana, right?🐒

Don’t think of Ushoga hata; these are peoples choices, I don’t care much; I protect watoto wangu vizuri, na kumwomba Mungu na kuwaombea wengine; but this will never be my priority !
 
Don’t think of Ushoga hata; these are peoples choices, I don’t care much; I protect watoto wangu vizuri, na kumwomba Mungu na kuwaombea wengine; but this will never be my priority !
so,
mtoto wako hachangamani na wengine wenye tabia nyingine ambazo huzijui, right?🤣

kuna mambo hayahitaji ubinafsi gentleman, yanahitaji collective responsibilities,
bare in mind mafirauni, watoaji mimba na wasagaji wengi wametoka kwenye familia za waliokua wakijipiga kifua kama wewe, na wengine ni watoto wa spiritual leaders kabisa,

ni muhimu sana kuwepo na jitihada za makusudi kuanzia kwenye familia, taasisi za dini, taasisi za elimu, vyama vya siasa na Taifa kwa ujumla katika kukemea na kukataa uchafu huo ambao badhi ya wagombea uongozi hata katika uchaguzi wa chadema Taifa wana tetea uchafu huo kana kwamba ni haki 🐒
 
so,
wagombea uongozi wa chadema Taifa hawana mikakati yoyote kuwasaidia hao vijanaa, right?

au na wao wanashiriki ufirauni huo na ni watetezi wa ufirauni?🐒


Mgombea wa Chama gani aliwahi kuongea anything kuhusu au jamaa?

Serikali inaongea nini kuhusu hao jamaa?

Rais na serikali yake wanaongea nini?

Wizara Husika inaongea nini?
 
Maana wathirika wakubwa wa fedheha hii ni pmoja na watoto wao, ndugu, jamaa, marafiki, wanachama wa chadema wafuasi wa chadema na waTanzania kwa ujumla..

Je,
ni ipi hasa mipango mikakati yao katika kukabiliana na ufirauni huo, ikiwa watapata fursa ya kuiongoza chadema Taifa?

au itakua ni aibu zaidi, kwamba ufirauni ni haki kama ambavyo iko huko kwa mabwenyenye wanaowafadhili baadhi ya vibaraka wao wanaogombea uongozi kwenye uchaguzi huu muhimu wa chadema ngazi ya Taifa?

kama mdau wa siasa,
unadhani hawa wagombea uongozi wa chadema taifa ,wamejiandaa kupambana na hiyo fedheha, ukiwatizama hata kwa sura zao tu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Nafikiri Tlaatlaaah kabla ya kusogeza swali hilo kwa chadema,ungeanzia Ccm kupitia BASATA ,ukipata majawabu yao ,sasa uje chadema uwaulize,hivi sisiemu walitengenezaje mamilionea kwa kuruhusu mmomonyoko mbaya zaidi wa kimaadili katika taifa letu.Bila shaka wakatihuo chadema wangekupa nini mtazamo wao.
 
Maana wathirika wakubwa wa fedheha hii ni pmoja na watoto wao, ndugu, jamaa, marafiki, wanachama wa chadema wafuasi wa chadema na waTanzania kwa ujumla..

Je,
ni ipi hasa mipango mikakati yao katika kukabiliana na ufirauni huo, ikiwa watapata fursa ya kuiongoza chadema Taifa?

au itakua ni aibu zaidi, kwamba ufirauni ni haki kama ambavyo iko huko kwa mabwenyenye wanaowafadhili baadhi ya vibaraka wao wanaogombea uongozi kwenye uchaguzi huu muhimu wa chadema ngazi ya Taifa?

kama mdau wa siasa,
unadhani hawa wagombea uongozi wa chadema taifa ,wamejiandaa kupambana na hiyo fedheha, ukiwatizama hata kwa sura zao tu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
CCM iliyopo nadarakani, imepambana vipi kutokomeza ushoga na usagaji hadi sasa?? Tuanzie kwanza hapo
 
Back
Top Bottom