hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Maana wathirika wakubwa wa fedheha hii ni pmoja na watoto wao, ndugu, jamaa, marafiki, wanachama wa chadema wafuasi wa chadema na waTanzania kwa ujumla..
Je,
ni ipi hasa mipango mikakati yao katika kukabiliana na ufirauni huo, ikiwa watapata fursa ya kuiongoza chadema Taifa?
au itakua ni aibu zaidi, kwamba ufirauni ni haki kama ambavyo iko huko kwa mabwenyenye wanaowafadhili baadhi ya vibaraka wao wanaogombea uongozi kwenye uchaguzi huu muhimu wa chadema ngazi ya Taifa?
kama mdau wa siasa,
unadhani hawa wagombea uongozi wa chadema taifa ,wamejiandaa kupambana na hiyo fedheha, ukiwatizama hata kwa sura zao tu?🐒
Mungu Ibariki Tanzania.
Tatizo la ushoga linaanzia kwenye familia
Ambako huko kunakuwa na wazazi na sio viongozi wa siasa
Kama wazazi ambao wanakaa na watoto 70% ya Maisha Yao watashindwa kuweka misingi mizuri then no one huku nje atawasaidia
So kama unaona Mtoto wako ana dalili zote za ushoga na ukawa unamchekea do you think lisu au Mbowe wataweza?