Hivi wakati mwingine huwa tunalaumu wanaume pasipo kujua?

Mamushka ; dharula zipo na kama weye ni mke wa aina dada Asha alyemsema hili la dharula halitakuwa hatarishi upande wako

MJ, Mimi ninajiamini ntafanya vyote, na huyo dada ntamdhibiti, vilevile hatapata hata nafasi ya uchawi, akija naushirikina wake ataondoka mwenyewe kwa jina la mungu ninaemuamini.
 
unazijua nguvu za giza wewe?
 
dah katika hali kama hii...nitafurahi sana kama nitampata mke bora anayemjua mungu,coz me naamini ukiwa na mke anaye mtanguliza mungu ktk kila jambo familia yako itakua mfano wa kuigwa even ur kids watakua tofauti na wenzao
 
Nadhani respects on both sides in Muhimu. Baba ajue huyu ni dada wa kazi na abaki hivyo. na sisi wakina mama, let us put the limits,,, dada anaweza kufanya nini na wapi haingii! Wanawake wengine ni wavivu na wazembe, utakuta kaacha chumba chote wazi, dada wa kazi ruksa! Shauri yako!
 
Sisi wanaume tunawindwa sana kila kona!nani mwili huu!limbwata sisi,mahouse gal sisi,nyumba ndogo ni sisi,walioko mtaani wanatutamani sisi jamani tutakuwa wageni wanani?

Nyumba ndogo huwa mnaanza kuzitamani wenyewe kakakiiza ,mkishaingia mkenge ndio wanataka wawamiliki kabisa .
 

Naona siku hizi watu wanaangalia maslahi kuliko upendo wa dhati ...iko kazi sijui tutafika...
 

NN sidhani kama mama ataweza kuvumilia kukaa na binti ambaye tayari hamwamini ..akishindwa mitishamba yake anaweza weka hata sumu
Chukua tahadhari mapema
 

Jamani ..unaniogopesha ....ooops unaweza kutamani kuwa mama wa nyumbani ..
 


Bwana Mbu na wewe unajuaje kama jamaa alitupiwa alitupiwa Nduba :biggrin1:
 
Reactions: Mbu
Tunatakiwa kusali na kumwomba Mungu
wasichana wandani wamekuwa wakitumiwa kwa uchawi, madawa na mambo mengi kwa ajili ya kuvuruga familia wanamoishi. Hii inatokana na wivu kutoka jamii inayotuzunguka au tamaa kwa madada wa kazi ya kutaka kuolewa na boss wake
ikishatokia kama hivyo bora aondoke sababu huwezi jua atafanya nini next time
 
Hivi haya madudu huwa kweli yanakamata hawa wenzetu vichwa ngumu?
sasa tufanyeje na hawa ma HG? maana na sie tunachoka sana, kazini home na bado usiku mtu anataka umpigie kazi lol mie acha nije kuibiwa tu lazima HG niweke
 
Nguvu za giza ni usasili tu. Hazipo na kama zipo wanaoziweza wanijaribu.

Kwa kuwa wewe huziamini na mimi siziamini naomba tujaribiane yaani wewe niroge mie na mimi nikuroge wewe halafu tuje toa ushuhuda
 
bahari hailindwi,unaweza kupekua begi la house girl uko nyumba ndogo je??utapata wapi access ya kujua mumeo anawekewa nini huko??sali tu:dance:

Umeona eeh! Just do your best and leave the rest to God. Ukifikiria sana unaweza kuchanganyikiwa.
 
Hivi haya madudu huwa kweli yanakamata hawa wenzetu vichwa ngumu?
sasa tufanyeje na hawa ma HG? maana na sie tunachoka sana, kazini home na bado usiku mtu anataka umpigie kazi lol mie acha nije kuibiwa tu lazima HG niweke

Kwanza faham kuwa matatizo tumeyasababisha sisi binadam wenyewe,from the bigining Mungu aligawanya majukumu,mwanamke alipangiwa kulea familia,haya mambo ya hausegirl ni matatizo ya kujitakia,pili;inaonekana mnaupa uchawi uwezo mkubwa sana,ili mtu alogwe ni lazima yeye mwenyewe aruhusu kulogwa!!
 
kukata mzizi wa fitna HG awe ameokoka na ana hofu ya MUNGU...
 
Enzi hizo Mungu anatupangia majukumu ya kulea familia kulikuwa wanaume wanaenda vitani na mashambani labda na hakuna mwanamke aliyekuwa anafanya kazi maofisini i guess, sasa dunia imebadilika mwenzangu tufanyeje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…