Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapa ndipo walitakiwa wapambane... wenzao wana pambana na yao... hawapambani na yajirani... ndio maana wana angaikia kutafuta wanacho ona wana stahili kukipata...Watanzania bhana,yaani ya kwao hawayasemi ila wamerukia ya uhuru.
Ongeleeni kwanza ya uchwara na mwelekeo wake ndiyo muende jirani
I second you mkuuhapa ndipo walitakiwa wapambane... wenzao wana pambana na yao... hawapambani na yajirani... ndio maana wana angaikia kutafuta wanacho ona wana stahili kukipata...
hata katika interest za utaifa hatuendi au hawaendi kwasababu ya jirani... ndio maana ktk baadhi ya maazimio baadhi walienda kama wao na wakaweka pembeni EAC... walitanguliza vipaumbele vyao kwanza alafu vya wengine baadae...Wale ni jiran zetu msiwaombe wapigane coz ss wa boda tutarukiwa na dam
Kweli...Wale ni jiran zetu msiwaombe wapigane coz ss wa boda tutarukiwa na dam
HahahaUhuruto katika ubora waoView attachment 688076
Umesema kweli kabisa juu ya ujamaa!hata katika interest za utaifa hatuendi au hawaendi kwasababu ya jirani... ndio maana ktk baadhi ya maazimio baadhi walienda kama wao na wakaweka pembeni EAC... walitanguliza vipaumbele vyao kwanza alafu vya wengine baadae...
hawa ndio jirani zako... kila mtu ni wakati wa kuangalia vyake... ujamaa ni kitu kibaya sana, mimi kwangu ujamaa ni alama ya umasikini...!
Ubepari ni njaa, ukabila, kunyang'anya ardhi, slums, impunity, slums, na corruption.Umesema kweli kabisa juu ya ujamaa!
Ujamaa ni umaskini paseee