Nikhil
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 361
- 120
Wakuu habari zenu nyote.
Mi nashindwa kuelewa kabisa hawa waubavu wetu, huyu girl jana tu ameniambia mi Niki nakupenda sana yaani niko tayari hata kubadili dini ili tu niolewe na wewe.
Leo hii unaniambia umeishiwa message unataka nikutumie vocha.
Damn mi sio mzazi wake asee tenaa bado sijamuweka ndani ashaanza mashambulizi.
Nahitaji msaada wenu wana jamvi ivi kuna upendo wa aina hii?
Je ndivo walivyoumbiwa na Muumba au ubishoo tu?
Nishaurini nifanyeje wakuu.
Mi nashindwa kuelewa kabisa hawa waubavu wetu, huyu girl jana tu ameniambia mi Niki nakupenda sana yaani niko tayari hata kubadili dini ili tu niolewe na wewe.
Leo hii unaniambia umeishiwa message unataka nikutumie vocha.
Damn mi sio mzazi wake asee tenaa bado sijamuweka ndani ashaanza mashambulizi.
Nahitaji msaada wenu wana jamvi ivi kuna upendo wa aina hii?
Je ndivo walivyoumbiwa na Muumba au ubishoo tu?
Nishaurini nifanyeje wakuu.