asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,035
Aseeeeeh
Huu Utoto sasa......
Huu Utoto sasa......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakushauri achana na mambo ya wanawake...jaribu wanaume wao hawatakuomba vocha
Kama hafanyi kazi na yupo kwao unataka amwombe baba yake hela ya vocha?
Pisha watu kama huwezi kumpa hata vocha,vocha huwa mi siombwi ni wajibu kila kukicha
...........Mwenzio atajuwa ni magorofa.
Hayo mapenzi yangekuwa yametengewa eneo la soko kama vile soko la mbuzi, mahindi nk hapo tungemlaumu!
hii kweli mkuu kuna wanaume huwa siwaelewi
vitu kama vocha mpaka uanzishe uzi ukiombwa vits si utafuta magari ya matangazo
Mioyo ya kusaidiana... mwanaume toa pesa upewe papuchi
Kaaah yaani sie ndio wakutoa pesa ili tupewe papuchi! Hapa ni full dozi ya ukweli siku nyingine wewe ndio utakayeniletea hela
Hata ukomalie hadi asubuhi bado utanipa hela
Aaah wapi labda niwe mgonjwa ndio utakumbuka kuomba pesa
Na mie nikiwaga juu siongei, sema mwanzo naweza kuwa mpole kama kawaida yetuHa ha ha naomba tu tena ukiwa juu
Wewe umporomoshee mimessage utegemee akujibuje?
tena mvua ya message......na anataka amuone akiwa online whatsapp......ni shida......