Hivi wakinadada hii ni kama asili yenu?

Hivi wakinadada hii ni kama asili yenu?

Achana naye huyo, hafu usiache kuni pm namba zake! nimurishie vocher yake.
 
unaonekana unaangalia sn tamthiliya za mapenzi ya kifilipino. unalalamika vocha? wenzio tunagharamia mpaka za ada za wadogo zao na bado tunajitamba tunapendwa,,,,,,, we vipi? Kampende mbuzi gharama yake kumlisha nyasi tu tena za bure
 
unaonekana unaangalia sn tamthiliya za mapenzi ya kifilipino. unalalamika vocha? wenzio tunagharamia mpaka za ada za wadogo zao na bado tunajitamba tunapendwa,,,,,,, we vipi? Kampende mbuzi gharama yake kumlisha nyasi tu tena za bure

Halafu at the same time bi mkubwa yuko madongo poromoko mixa life halijisomi msosi unazingua wewe upo mjini unajifanya unajua kupenda mwanadada au sio...say hell yeeeah...!!
 
hata vocha khaaaa!!!
miwanaume ya sahz bana ubahili tu.....si useme kama umefulia kwani kumtumia mtu vocha shngap??looooh
 
tena unatakiwa kutuma kabla haujaombwa.
 
Achia ngazi kijana,utaishia kuchapiwa tu.
 
nakushauri achana na mambo ya wanawake...jaribu wanaume wao hawatakuomba vocha

Toa vocha hio acha kulia lia ULIVOAMBIWA. UTAKULA KWA UCHUNGU U
IJUA MASIHARA?

Wewe umporomoshee mimessage utegemee akujibuje?

muache aende kwa watakaoweza kumpa hela

Unataka vya bure tpa vocha kijana hakuna mapenzi ya bure

Najua mnapenda kuhongwa lakini siyo kila mwanaume anaweza kuhonga, umepewa bure toa bure
 
Kama hafanyi kazi na yupo kwao unataka amwombe baba yake hela ya vocha?
Pisha watu kama huwezi kumpa hata vocha,vocha huwa mi siombwi ni wajibu kila kukicha

Huna tofaut na mimi
 
Mkuu shemeji yako katoka kuniambia kachoka kutumia kamitsubishi anataka rav4...ww vocha unahoji?

ukiingia kwny ndoa utaweza kweli ww?
 
Mzee kama vocha tu kwako tatizo watoto wazur we waitage shemej tu... jiweke kando tumia sabuni... then ukipata not warudie
 
Mkuu shemeji yako katoka kuniambia kachoka kutumia kamitsubishi anataka rav4...ww vocha unahoji?

ukiingia kwny ndoa utaweza kweli ww?

Kama una status hiyo ni sawa akikwambia hivyo, maana kuna watu hapa mjini millioni kwao ni buku tu.
 
Back
Top Bottom