nakushauri achana na mambo ya wanawake...jaribu wanaume wao hawatakuomba vocha
kwani mapenzi ni ujumuisho wa nini!
sio kwamba nashindwa lakini je huu upendo una lenga nini hasa
nakushauri achana na mambo ya wanawake...jaribu wanaume wao hawatakuomba vocha
Toa vocha hio acha kulia lia ULIVOAMBIWA. UTAKULA KWA UCHUNGU U
IJUA MASIHARA?
Me mwenyewe nimetoka kuomba hela sasa hv......Vocha siombi.Mshindo wangu mkubwa.
Wewe umporomoshee mimessage utegemee akujibuje?