Hivi wakinadada hii ni kama asili yenu?

Kama hafanyi kazi na yupo kwao unataka amwombe baba yake hela ya vocha?
Pisha watu kama huwezi kumpa hata vocha,vocha huwa mi siombwi ni wajibu kila kukicha

hii kweli mkuu kuna wanaume huwa siwaelewi

vitu kama vocha mpaka uanzishe uzi ukiombwa vits si utafuta magari ya matangazo
 
Nikhil

Bro wafanya masikhara au???
Wenzio wanalia "kama shida ni simu sema nikununulie baby kwa nini hun'jibu", we vocha tu unaitungia sredi? Sasa hiyo hela ya bundle si umpe ya vocha, au kwa sababu ushapendwaa???
 
Last edited by a moderator:
hii kweli mkuu kuna wanaume huwa siwaelewi

vitu kama vocha mpaka uanzishe uzi ukiombwa vits si utafuta magari ya matangazo

Mkuu mtoto wa kike anaishi kwao sasa vocha yenyewe unakuta ni bando ya buku,leo amwombe baba,kesho mama ili tu awasiliane na wewe,halafu na wewe unamind mbona hunitafuti si itakuwa uwehu.
 
Mkuu mbona unatutia aibu wanaume wenzako.........
yaani kuombwa jero (500) tu ndio mpaka umekuja kuanzisha thread...
ujue kuwa kuhonga ni Asili ya mwanaume....
jiangalieee...
 
Nikhil

nitumie namba yake PM nikusaidie naona huo ni mzigo mzito kwako.....
 
Last edited by a moderator:
Nikhil

Sema huna hela, watu wanahonga magari, nyumba nk. Na wala wewe humpendi, achana nae mapema
 
Last edited by a moderator:
Mkuu vocha tu unalia?! Muulize miss chagga kila sku lazma apate laki mbili sasa ungekuwa ww ungelalamikaje?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…