Hivi wakinadada hii ni kama asili yenu?

Vocha tu unapiga kelele hii tulia kwanza upgwe vya ukwel ndio uje
 
Hee we kaka wa ajabu:embarrassed: yaani vocha tu unalalamika ulitaka amwombe nani ikiwa we ndo wa ubavu wake? Huo ndo wajibu wako wala huhitaji kuombwa kaka; wenzio hununua hadi gari nini vocha acha ujinga wewe PUMBAFU
 
Nikhil
Hebu nitumie namba zake fasta sana ili nikusaidie kuwa namtumia vocha kila cku
 
Last edited by a moderator:
Nikhil

Sasa kama hela ya voucher tu mapovu yanakutoka. Majukumu ya familia utayaweza kweli?
 
Last edited by a moderator:
gagadudu big up broo
 

Attachments

  • 1411479367032.jpg
    85.7 KB · Views: 188
Vocha tu unalia???we mvulana au mwanaume??

wote ni watoto tu! mwanamke hawezi kuomba pesa ya vocha kwa hawara wa sku mbili, ni dalili ya kuwa darn cheap...vocha?!! wanaoombana vocha ni wanafunzi na vinyamkera vya mtaani visivyo na mbele wala nyuma, labda kama ni dharula mtu yuko mbali na sehem wanayoweza kunnua vocha, siyo kuomba vocha kwa maana ya kwamba hana pesa ya kununua halafu na wewe unajisemea una mchumba, si bora uende kuowa kijijini mtoto aliyemaliza la saba kieleweke, huyo asiyeweza kujinunulia vocha atakusaidia mawazo gani katika maisha, mwanamke wa kweli yuko independent, akipiga kibomu ni kwamba kweli amekwama kwenye jambo la maana anahitaji umng'oe, sasa vocha ndugu yangu...loh!
 
Vingine tunavigharamia but bado vinanuka utadhani panya kafwia ndani lol! Nibora mtupege tu bila malipo ili tupate morali ya kuvumiliana!

Gharamia uone kama kitanuka we kinalowekwa na jiki kabisa
 
Mmeombwa vocha mnatoka mapovu mkiombwa galaxy itakuaje
 
Ndiyo ni bure lakini maintainance yake ndiyo expensive inatocost.... some of shaving, washing it inahitaji sabuni na maji masafi..... hapo akijaumwa , ujakichubua aiii embu mtuhonge tufanyie matunzo loh

Kwa jinsi unavyojitetea mwanaume ni lazima akuhudumie vizuri ila sasa mpunguze nakisi za bajet zenu za matumizi maana mnategemea fedha za wahisani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…