Hivi wakristo wanaokula nguruwe wanaruhusiwa kuwachangia damu waislamu

Hivi wakristo wanaokula nguruwe wanaruhusiwa kuwachangia damu waislamu

Haturuhisiwi hata kutumia vitu vya makafir. Hata kushare au kununua vitu walivyounda wao.
Ila wanawaongoza na mnakubali wanawaletea teknolojia mnaipokea hadi kuwalawiti wanawalawiti n amnakata viuno safi kabisa😂😂😂
 
Nimeshawaza sana swala la kuongezewa Damu. Naomba nisije pata hiyo dhahama maishani. Damu ina DNA ya mtu means ukiongezewa Damu uneongezewa dna. Sasa najiuliza nikiongezewa damu ya mtu ana Tabia za ajabu, mchawi, jambazi, shoga au tabia zingine zenye utata inakuwaje?
Achana na kula nguruwe na kuvuta bangi hizo tabia nyingine je nitakuwa salama? Kuongezwa damu kwangu ni mada pana sana….
 
Muislamu kakatazwa kula nguruwe kama vyakula vyote vipi,ila kama ana njaa na chakula pekee kilichobaki ni kitimoto anaruhusiwa kula bila shaka.
Kinachofanya asiruhusiwe kula wakati wote ni nn kama ikiwa hakuna chakula kingine anaruhusiwa? Wewe unaona kuna mantiki kweli hapa? Kile kinamfanya asile kinaweza kumfanya ale nyakati fulani fulani? Hahaa hapa ndipo usanii wa dini uliko.
 
Kinachofanya asiruhusiwe kula wakati wote ni nn kama ikiwa hakuna chakula kingine anaruhusiwa? Wewe unaona kuna mantiki kweli hapa? Kile kinamfanya asile kinaweza kumfanya ale nyakati fulani fulani? Hahaa hapa ndipo usanii wa dini uliko.

Allah alikua msanii[emoji28][emoji28]
 
Muislamu kakatazwa kula nguruwe kama vyakula vyote vipi,ila kama ana njaa na chakula pekee kilichobaki ni kitimoto anaruhusiwa kula bila shaka.
Hii ni dini ya mchongo kweli. Haurusiwi kula nguruwe kwasbb ni dhambi ila km hakuna chakula kingine ,kuna nguruwe tu ruksa kula
Hapo sijaelewa aisee
 
Katazo la kula nguruwe kwenye uislamu lipo kisiasa mno!

Kama hakuna namna kabisa ruksa kula.
Dini ya Mnyazi Mungu ipo safi inanyumbuka...
Vilivyoharamishwa Duniani Peponi Ruksa .. mfano ,Kila mwaaume ameandaliwa Wanawali Bikra 72..afu,kutakuwa na mito inayotiririka Pombe ...watu wanagida ! Wanaume mitalimbo imekuwa assured kisimama fultime!
 
Nimeshawaza sana swala la kuongezewa Damu. Naomba nisije pata hiyo dhahama maishani. Damu ina DNA ya mtu means ukiongezewa Damu uneongezewa dna. Sasa najiuliza nikiongezewa damu ya mtu ana Tabia za ajabu, mchawi, jambazi, shoga au tabia zingine zenye utata inakuwaje?
Achana na kula nguruwe na kuvuta bangi hizo tabia nyingine je nitakuwa salama? Kuongezwa damu kwangu ni mada pana sana….
Ukiongezewa damu haiathiri DNA yako, DNA yako inabadilika wakati wa random assortment ya genes wakati wa uzalianaji, au kwa kutumia mutagens
 
Back
Top Bottom