Hivi wakristo wanaokula nguruwe wanaruhusiwa kuwachangia damu waislamu

Hivi wakristo wanaokula nguruwe wanaruhusiwa kuwachangia damu waislamu

Hili ni ngumu kukwepa maana hata idadi ya muslim wanaotumia ni kubwa mtaani.
 
Dini ya Mnyazi Mungu ipo safi inanyumbuka...
Vilivyoharamishwa Duniani Peponi Ruksa .. mfano ,Kila mwaaume ameandaliwa Wanawali Bikra 72..afu,kutakuwa na mito inayotiririka Pombe ...watu wanagida ! Wanaume mitalimbo imekuwa assured kisimama fultime!

Bila kusahau kitimoto rost na choma.
 
1712430568151.png
... MBUZI-CATHOLIC!
 
Sasa Kitimoto na damu umewaza nini hadi kuhisi kunashida, wewe aliyekwambia mtu akila kitimoto inageuka kuwa Damu ni nani?

Kuna sehemu ulishasoma kwenye biology au chemistry kwamba mtu aliyepungukiwa damu anashauriwa kula sana kitimoto, au haujui vyakula vya kuongeza damu mwilini?

Hebu achaneni na my wetu mnamuandama sana kila uchao.
 
hawaruhusiwi ilatwaislamu wenzao wanaokula nguruwe wanaruhusima kuwachangia damu. (Ikumbukwe 47% ya wateja wa kitimoto ni wavaa madela meupe na vibalagashea)
47% ni takwimu za uongo na za kupika, namba ya makadirio hapo ni 70%.
 
Ungerekebisha kidogo swali lako, kwanini umeamuwa kuwa "single out" Waislam pekee? Wakristo wengi hawali nguruwe. Wayahudi pia hawali kabisa.

Uislam haukatazi kuchangia au kuchangiwa damu na yeyote mradi hiyo damu ipo salama.
Wayaudi sio wakristo kwanza hata Yesu hawamtambui. Koma mtoto wa dada.
 
Ungerekebisha kidogo swali lako, kwanini umeamuwa kuwa "single out" Waislam pekee? Wakristo wengi hawali nguruwe. Wayahudi pia hawali kabisa.

Uislam haukatazi kuchangia au kuchangiwa damu na yeyote mradi hiyo damu ipo salama.

Ame single out maana nyie dini yenu mnaendesha kila kitu kwa fujo, mara mpige watu kule Zanzibar kisa wamekula kipindi cha mfungo wa muarabu.
Mumekaa kivita vita na chuki, hivyo lazima kila watu wahoji kila wanachokifanya.
 
Back
Top Bottom