Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Hili ni ngumu kukwepa maana hata idadi ya muslim wanaotumia ni kubwa mtaani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini ya Mnyazi Mungu ipo safi inanyumbuka...
Vilivyoharamishwa Duniani Peponi Ruksa .. mfano ,Kila mwaaume ameandaliwa Wanawali Bikra 72..afu,kutakuwa na mito inayotiririka Pombe ...watu wanagida ! Wanaume mitalimbo imekuwa assured kisimama fultime!
Wewe wasema! 😁Bila kusahau kitimoto rost na choma.
Acha fitna wewe. Mbona hata kwenye ulazima quoran imeruhusu mtu kujikimu kwa kitimoto ndio mtu mgonjwa hadi kuhitaji damu. Tujenge daraja bhana sio ukuta.Nilikuwa nawaza tu hapa,
Nani kasema?Wakristo wengi hawali nguruwe
Itakua sababu ndugu zetu wa jmosi hawataki kabisa damu ya kuchangiwaNilikuwa nawaza tu hapa,
... mbona wana jibu la rahisi kabisa!!!?:Mkuu kaa hapo hapo, uone wavaa kobazi watakavyokuwakia....
47% ni takwimu za uongo na za kupika, namba ya makadirio hapo ni 70%.hawaruhusiwi ilatwaislamu wenzao wanaokula nguruwe wanaruhusima kuwachangia damu. (Ikumbukwe 47% ya wateja wa kitimoto ni wavaa madela meupe na vibalagashea)
Wayaudi sio wakristo kwanza hata Yesu hawamtambui. Koma mtoto wa dada.Ungerekebisha kidogo swali lako, kwanini umeamuwa kuwa "single out" Waislam pekee? Wakristo wengi hawali nguruwe. Wayahudi pia hawali kabisa.
Uislam haukatazi kuchangia au kuchangiwa damu na yeyote mradi hiyo damu ipo salama.
Mnawagombanisha bure tu awaislam na Kitimoto, hao ni mapacha wa kisirisiriNilikuwa nawaza tu hapa,
Ungerekebisha kidogo swali lako, kwanini umeamuwa kuwa "single out" Waislam pekee? Wakristo wengi hawali nguruwe. Wayahudi pia hawali kabisa.
Uislam haukatazi kuchangia au kuchangiwa damu na yeyote mradi hiyo damu ipo salama.