Hivi wale majaji wa zamani hapa Tanzania mbona walikuwa imara sana?

Hivi wale majaji wa zamani hapa Tanzania mbona walikuwa imara sana?

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Nakumbuka kesi nyingi nzito Serikali ilikuwa inapigwa chini. Wakina Mtikila, Masumbuko Lamwai, Mabere Marando nk. kama wana hoja za msingi wanashinda kesi.

Siku hizi mbona vijikesi vidogo tu ni mwendo wa kuahirisha kwa week moja au ndiyo kusikilizia maamuzi kutoka juu?!

This is very sad and absurd! Kwa mwendo huu tuendelee kufatilia tu kesi za Kenya at least kuna watu wanao jiheshimu na kuheshimu taaluma.
 
Compromised judiciary

Toothless Parliament, Powerless Courts, and Omnipotent Incumbents
 
Majaji wa sasa hivi wana kadi za CCM, wanapata teuzi kutokana na ufuasi wao, nani atataka kuwachukiza wakubwa akose uteuzi? Huu uteuzi na marupurupu ambayo sio stahili yao ndio vinavyoponza, kataa kubali ndio hivyo
 
Majaji wa sasa hivi wana kadi za CCM, wanapata teuzi kutokana na ufuasi wao, nani atataka kuwachukiza wakubwa akose uteuzi? Huu uteuzi na marupurupu ambayo sio stahili yao ndio vinavyoponza, kataa kubali ndio hivyo
Ndiyo maana hata siasa za kenya na hata upingaji wao matokeo mahakamani una mvuto, sasa jaji hata kesi ya kipouuzi kama ya mzee mdee na covid 18 wenzake unaweweseka kusubiria maamuzi ya juu ukipewa ya kina odinga si utakimbilia burundi kujificha?
 
Majaji wa sasa hivi wana kadi za CCM, wanapata teuzi kutokana na ufuasi wao, nani atataka kuwachukiza wakubwa akose uteuzi? Huu uteuzi na marupurupu ambayo sio stahili yao ndio vinavyoponza, kataa kubali ndio hivyo
Toothless Parliament, Powerless Courts, and Omnipotent Incumbents
 
Nakumbuka kesi nyingi nzito serikali ilikuwa inapigwa chini,kina mtikila ,masumbuko lamwai, mabere mara...
Majaji wa kizazi hiki ni wavivu, wajinga na wazembe ni wengi mno... shida hii hupelekea jaji kuwaza kujipendekeza kwa mamlaka za maamuzi ili apewe position ya kula bata kama vile ujaji kiongozi... jaji kwenye tume mbalimbali na mahakama ya rufani. Inatia aibu sana.
 
Mtikila, Lamwai, Mabere…. ni lini walikuwa majaji?
 
Watanzania wengi mlishakaririshwa kwamba OLD IS GOLD

Si ajabu wapo wanaoamini Pele ni zaidi ya Messi, lakini kiuhalisia Messi ni zaidi ya Pele. Au Pele ni zaidi ya Maradona, lakini kiuhalisia Maradona ni zaidi ya Pele
 
Watanzania wengi mlishakaririshwa kwamba OLD IS GOLD

Si ajabu wapo wanaoamini Pele ni zaidi ya Messi, lakini kiuhalisia Messi ni zaidi ya Pele. Au Pele ni zaidi ya Maradona, lakini kiuhalisia Maradona ni zaidi ya Pele
... umetumia vigezo gani ku-conclude Chief?
 
Back
Top Bottom