Zamani tulikua tunaanzisha safari kutembelea ndugu wanaishi mbali, ili upikiwe wali, maana mgeni ili ajisikie amekilimiwa na mwenyeji wake, wampikie wali kuku, na sinia la wali lifunikwe na kawa.Ha ha kwa wale wa enzi zileeee. Nakumbuka siku ukipikwa ubwabwa
1. Unawahi kuoga maana hiyo ndio pswd ya kula.
2. Hupendi kabisa wenzako waje kucheza kwenu. Na wakija wakagundua kuna ubwabwa hawaondoki mpaka wanakula unaisha.
3. Ukiacha kiporo unawahi kurudi nyumbani ili bro asije akakipiga chote ukaambiwa songa ugali[emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Zamani tulikua tunaanzisha safari kutembelea ndugu wanaishi mbali, ili upikiwe wali, maana mgeni ili ajisikie amekilimiwa na mwenyeji wake, wampikie wali kuku, na sinia la wali lifunikwe na kawa.
Mwache awaze hivyo, ndio kiwango chake cha ufaham kilipo ishia. Lakini kumbuka kati ya watu 4 mmoja wao ni...Kinapendwa sababu kile kingine kinamapungufu, wali una mafuta, chumvi nk. Wakati ugali unachemshwa tuuu bila kitu vitalinganaje? Wenzio wanaumiza vichwa kwa mambo ya maana we unawaza tofaut ya wali na ugali,,,,!!!??
Tena siku mkila Pilau hutaki hata kunawa mkono na ukitoka nje unaenda kuwanusisha rafiki zako "Nuseni mikono yangu leo mama kapika Pilau tumekula" utoto wa enzi hizo ilikua raha sana.Ha ha kwa wale wa enzi zileeee. Nakumbuka siku ukipikwa ubwabwa
1. Unawahi kuoga maana hiyo ndio pswd ya kula.
2. Hupendi kabisa wenzako waje kucheza kwenu. Na wakija wakagundua kuna ubwabwa hawaondoki mpaka wanakula unaisha.
3. Ukiacha kiporo unawahi kurudi nyumbani ili bro asije akakipiga chote ukaambiwa songa ugali[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Enzi za zamani wali lazima "Ubanikwe" unafunikwa na mfuniko wa bati juu ya Sufuria na kuwekewa makaa ya moto juu ya Sahani ili kupata "Ukoko" ambo huliwa na mtu "mzito" kwenye familia na hasa Baba.Wali samaki [emoji39] [emoji39] [emoji39]
My Fav.
Kiporo cha Wali enzi hizo tulikua tunanywea chai asubuhi..Daah!! Where are those old gold days!Ha ha kwa wale wa enzi zileeee. Nakumbuka siku ukipikwa ubwabwa
1. Unawahi kuoga maana hiyo ndio pswd ya kula.
2. Hupendi kabisa wenzako waje kucheza kwenu. Na wakija wakagundua kuna ubwabwa hawaondoki mpaka wanakula unaisha.
3. Ukiacha kiporo unawahi kurudi nyumbani ili bro asije akakipiga chote ukaambiwa songa ugali[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Enzi za zamani wali lazima "Ubanikwe" unafunikwa na mfuniko wa bati juu ya Sufuria na kuwekewa makaa ya moto juu ya Sahani ili kupata "Ukoko" ambo huliwa na mtu "mzito" kwenye familia na hasa Baba.
Enzi za zamani wali lazima "Ubanikwe" unafunikwa na mfuniko wa bati juu ya Sufuria na kuwekewa makaa ya moto juu ya Sahani ili kupata "Ukoko" ambo huliwa na mtu "mzito" kwenye familia na hasa Baba.
Dah! Upo sahihi kabisa Mkuu, unajua imekua ni miaka mingi sana aisee..Tafadhali yakhee hiyo kitu ipatie heshima yake inayostahili, haitwi ukoko, hiyo kitu inaitwa "Matandu", Ukoko ni yale mabaki ya chini kabisa ya sufuria ambayo unaweza kukwangua na kijiko.
Raha ya Matandu uletewe kwenye kisosi huku umekalishwa kwenye kigoda walishwa weyee kama kinda la ndege vile!
Wallah umenikumbusha shemeji yangu NIMPENDENANI. Yaani yule Mwali apika haijapata kutokea.Tafadhali yakhee hiyo kitu ipatie heshima yake inayostahili, haitwi ukoko, hiyo kitu inaitwa "Matandu", Ukoko ni yale mabaki ya chini kabisa ya sufuria ambayo unaweza kukwangua na kijiko.
Raha ya Matandu uletewe kwenye kisosi huku umekalishwa kwenye kigoda walishwa weyee kama kinda la ndege vile!
Siku hizi wali watumbukizwa kwenye rice cooker tu, ladha hakuna kama ule wa 'kubanika'
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu, nimewaza kuhusu mtandao pendwa na hawa ndugu zetuKinachopendwa na Waarabu, lazima kipendwe na kila mmoja!
Labda ni kizuri maana hawa wenzetu huwa wanajua vitamu hasa viko wapi!
Ndio hicho kitendo cha kuweka sahani juu na makaa ya moto kinaitwa KUBANIKA.Mbona lugha zenu zinaleta ukakasi atii !, huo wali haubanikwi, bali unakuwa unapaliwa na makaa ya moto , kwa maana ukishaiva kabla ya kukauka, unachukua chombo cha kufunika juu yake unaweka makaa ya moto, ndiyo kupalia kwenyewe hukooo!