Mishahara yetu duni..... Tumekubali
Posho ya mazingira magumu hamna... Tumekubali
Madaraja hatupandi.. Tumekubali
Annual increment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.
LAKINI
Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?
Hivi Ualimu ni laana?
Why US!?
Kumbuka sisi ndio tunatumika kufanya kazi zote maalumu za kitaifa...
Sensa..
Daftari la kura...
Uchaguzi..
Tena kwa malipo madogo mnoo...
Why the hell are we treated like this!?? Like hogs..
Why!?
Manina acha mshike adabu nyie si ndio mlisimamia mnalalamika nini sasa acha adabu itushike wroteMishahara yetu duni..... Tumekubali.
Posho ya mazingira magumu hamna... Tumekubali.
Madaraja hatupandi.. Tumekubali.
Annual increment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.
LAKINI
Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yaani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?
Hivi Ualimu ni laana?
Pia soma:
Walimu tulioajiriwa 2012 Ileje tumewakosea nini serikali? Malimbikizo hatulipwi madaraja hatupandi!
Walimu walioajiriwa 2012 ilibidi wapande madaraja July 2015 lakini haikuwa hivyo, tukaendelea kuchapa kazi. Sasa namuomba waziri simbachawene atuambie sisi walimu wa Ileje tunadharauliwa au hatufahamiki na serikali? Wenzetu wilaya zingine wamepanda madaraja tokea mwezi wa kwanza sisi hadi Leo...www.jamiiforums.com Walimu wamepandishwa madaraja ila kuna shaka
Nimejaribu kuangalia barua ya dada yangu wa wilaya ya Nyamagana Mwanza nimeshangaa. Barua inaonesha amelandishwa daraja analostahili lakini Baraza la madiwani ndo linaonekana kuwapandisha kinyume na utaratibu wa kawaida ambao ameniambia ni TSD wanaopandisha walimu. Je ni sahihi au changa la macho!www.jamiiforums.com
naoMishahara yetu duni..... Tumekubali.
Posho ya mazingira magumu hamna... Tumekubali.
Madaraja hatupandi.. Tumekubali.
Annual increment hamna.. Tumekubali.
Pay leave..likizo ya malipo hamna... Tumekubali.
LAKINI
Hata hili la kazi maalumu, kweli kabisa hutulipi. Yaani mitihani imesahishwa,tumerudi nyumbani.. Mpaka leo? Kweli!?
Hivi Ualimu ni laana?
Pia soma:
Walimu tulioajiriwa 2012 Ileje tumewakosea nini serikali? Malimbikizo hatulipwi madaraja hatupandi!
Walimu walioajiriwa 2012 ilibidi wapande madaraja July 2015 lakini haikuwa hivyo, tukaendelea kuchapa kazi. Sasa namuomba waziri simbachawene atuambie sisi walimu wa Ileje tunadharauliwa au hatufahamiki na serikali? Wenzetu wilaya zingine wamepanda madaraja tokea mwezi wa kwanza sisi hadi Leo...www.jamiiforums.com Walimu wamepandishwa madaraja ila kuna shaka
Nimejaribu kuangalia barua ya dada yangu wa wilaya ya Nyamagana Mwanza nimeshangaa. Barua inaonesha amelandishwa daraja analostahili lakini Baraza la madiwani ndo linaonekana kuwapandisha kinyume na utaratibu wa kawaida ambao ameniambia ni TSD wanaopandisha walimu. Je ni sahihi au changa la macho!www.jamiiforums.com
Umenena vema kabisa yaani utafikiri upo huko kwenye hio carrier. Yaani % kubwa ya walimu ni wasengerema balaa. Huwa nashangaa sana kuona mwalim anajitolea eti kufundisha siku za wikendi kwa wema upi aliotendewa😬😬 yaani ilmradi kujipendekeza tu.Hakuna mgomo wa walimu hizi Ni kauli za kujifariji tu ,tunaona wakuu wa shule ,walimu wakuu ,ma meck wanavyowapelekesha walimu wa kawaida kisa posho wanazokula na kwa ujinga wa walimu nao wanasalitiana wao kwa wao kwa kuamua kuwa wapeleka taarifa za walimu wenzao kwa hao viongoz uchwara.
Mbali na Hilo kwenye shule moja kutakuwa na walimu wawil au watatu wenye misimamo ila wote wanaobak wanakuwa upande wa mkuu wa shule au Mwalimu mkuu na hao wengine kuchukiwa ,Sasa huo mgomo unaousemea Ni upi ndugu?
Kuna walimu vihere here wanafundisha had jumamosi Tena bure kabisa kisa tu kujipendekeza kwa mkuu wa shule.
Kuna walimu wanoko mnapanga hili baadae wanasalit.
Narudia Tena hakuna mgomo wa walimu kabisa kwenye nchi hii ,coz watu wanapiga Kaz had ambazo ziko nje ya mkataba wake ,wanafundisha had sio poa bahat mbaya tu mitoto ya siku iz Ni mivilaza.
Ukweli utabak kuwa mchungu Sana hii kada inatumika vibaya mno na ina watumish wengi ambao hawakufaa kuwa hapo.
Ili heshima ilejee kwenye hii kada huku primary watoe hawa walimu wa cheti waende wakasome primary Mwalimu aanze na diploma na degree ,alaf sec Mwalimu aanze na degree na masters hapo utaona Moto wake .
Walimu wanaoongoza kwa kuiharibu hii kada Ni hasa wa primary wale wenye chet Ni waoga wamepoa Kama kuku wa mdondo kila kitu Ni ndio tu .
Nimekuwa na wasiwasi mkubwa sana na uwezo wako wa kitaaluma huko kazini kwako. Nawapa pole wanafunzi unaowahudumiaUmeandika kwa hisia kalii.. Huenda na ww ni mwalimu. Hupati nafasi hiyi kwasababu huna maadili. Kazi hiyo ni nyeti. Endelea sugua. Mpumbavu kabisa wewe.
Wewe pia NI mwalimu?TumedharauliwA mnoo hawamu hii... Haijawahi tokea..
Unaongea uongo Mkuu. Nilikuwa kwenye kamati ya uhakika wa vyeti feki Halmashauri X.Ualimu ni kada ya watu wenye ufaulu duni wa mitihani, hicho mnacholipwa kinawatosha
Hizo ni sawa na A 4 za civics,kiswahili,histori na literature.Unaongea uongo Mkuu. Nilikuwa kwenye kamati ya uhakika wa vyeti feki Halmashauri X.
Pale ndiyo nilibaini kuna watu wengi hasa afya wana D mbili tu za Chem na Bios ila ni watumishi wa Umma.
Wapambane sasa!Kuna mwalimu mmoja jimboni kwangu baada ya ushindi wa kishindo wa sisiemu, akaniambia tatizo wapinzani wengi hawakujiandisha na hata waliojindikisha wengi hawajapiga kura,nikamuuliza umejuaje? Akabaki anakenua tu,5more