Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,647
Matukio yanayonihuzunisha
1.Wanapiga makonda mpaka wanawapa vilema
2.Mwalimu akizingua wanamchapa kama mtoto mdogo
3.Yaani shule wanaingia saa 4
Kuhusu taaluma
1.Kufaulu 1 kati ya 120
2.Mwanafunzi mwaka mzima kasoma page 2
3.Muda wa masomo wanashinda vijiweni wakicheza kamari
4.Akienda ana daftari moja ambalo hilo hilo anaandikia masomo yote
5.Wengi wao hawapendi kuchomekea mashati waikenda shuleni
Japo sio wote ila wengi wao wako hivyo je, tatizo ni nini?
1.Wanapiga makonda mpaka wanawapa vilema
2.Mwalimu akizingua wanamchapa kama mtoto mdogo
3.Yaani shule wanaingia saa 4
Kuhusu taaluma
1.Kufaulu 1 kati ya 120
2.Mwanafunzi mwaka mzima kasoma page 2
3.Muda wa masomo wanashinda vijiweni wakicheza kamari
4.Akienda ana daftari moja ambalo hilo hilo anaandikia masomo yote
5.Wengi wao hawapendi kuchomekea mashati waikenda shuleni
Japo sio wote ila wengi wao wako hivyo je, tatizo ni nini?