GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwa takriban wiki sasa nimekuwa siwaelewi kabisa watoto wangu Wapendwa wawili wa kiume Samora na wa kike Charlotte kwa maneno yao au kauli zao kwangu ambazo zinafanana.
Wote nawasomesha hapo IST ( International School Of Tanganyika ) iliyopo Upanga na sijui niseme ni bahati mbaya au nzuri kwamba walianza kusoma hapo toka wakiwa kindagarten ( Vidudu / Chekechea ) hadi sasa wapo Standard Four ( 3 )
Lakini hawa watoto ndani ya muda huu mfupi wa wiki moja wamekuwa wakiniambia tena huku wakilia kuwa wanataka niwahamishe shule na niwapeleke Kambagwa Secondary School, shule zetu hizi za Changanyikeni lakini sijaafiki bado kwani naona kama vile wanangu watapotea kielimu.
Naomba ushauri wenu wakuu, Je nikubaliane nao na niwahamishe au wabaki tu hapo hapo IST? Na je ni kwamba wanangu hawa kwa maamuzi yao haya wamechanganyikiwa kiakili au ndiyo kusema wamekomaa na wamekuwa sasa?
Karibuni.
Wote nawasomesha hapo IST ( International School Of Tanganyika ) iliyopo Upanga na sijui niseme ni bahati mbaya au nzuri kwamba walianza kusoma hapo toka wakiwa kindagarten ( Vidudu / Chekechea ) hadi sasa wapo Standard Four ( 3 )
Lakini hawa watoto ndani ya muda huu mfupi wa wiki moja wamekuwa wakiniambia tena huku wakilia kuwa wanataka niwahamishe shule na niwapeleke Kambagwa Secondary School, shule zetu hizi za Changanyikeni lakini sijaafiki bado kwani naona kama vile wanangu watapotea kielimu.
Naomba ushauri wenu wakuu, Je nikubaliane nao na niwahamishe au wabaki tu hapo hapo IST? Na je ni kwamba wanangu hawa kwa maamuzi yao haya wamechanganyikiwa kiakili au ndiyo kusema wamekomaa na wamekuwa sasa?
Karibuni.