Hivi wanaofanya UCHAGUZI wa mwenyekiti wa Chadema yaani wapigakura ni nani?

Hivi wanaofanya UCHAGUZI wa mwenyekiti wa Chadema yaani wapigakura ni nani?

OPEN the Door

Senior Member
Joined
Nov 15, 2024
Posts
170
Reaction score
84
Uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema umekaribia. Makelele mengi kutoka mjukwaa mbalimbali,vyombo vya habari na wadau wa kisiasa na kidemokrasia wanatoa maoni, wengine hata wanalazimisha kupiga Kura Kwa kutaja jina la mgombea mmojawapo kati ya waliochukua fomu.Duh! Sasa wadau je Demokrasia ndiyo hivi? Wote ni wapiga kura wa Chadema? Mi nadhani tusubiri wapigakura halali wa Chadema watatupatia mwenyekiti halali wa Chadema.
 
Uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema umekaribia. Makelele mengi kutoka mjukwaa mbalimbali,vyombo vya habari na wadau wa kisiasa na kidemokrasia wanatoa maoni, wengine hata wanalazimisha kupiga Kura Kwa kutaja jina la mgombea mmojawapo kati ya waliochukua fomu.Duh! Sasa wadau je Demokrasia ndiyo hivi? Wote ni wapiga kura wa Chadema? Mi nadhani tusubiri wapigakura halali wa Chadema watatupatia mwenyekiti halali wa Chadema.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) huchaguliwa na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama hicho. Huu ni mkutano wa juu zaidi wa maamuzi ndani ya chama, na wajumbe wake ni pamoja na:


  1. Viongozi wa Kitaifa wa Chama
  2. Wajumbe wa Baraza Kuu la Taifa
  3. Wenyeviti wa Kanda
  4. Wawakilishi kutoka ngazi za chini za chama (wilaya na matawi)
  5. Viongozi wa ngazi mbalimbali wa chama, ikiwa ni pamoja na wabunge na madiwani wa chama hicho.
Nb: Asilimia zaidi ya 80 ya wajumbe tajwa hapo juu wamemchoka Mbowe
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) huchaguliwa na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama hicho. Huu ni mkutano wa juu zaidi wa maamuzi ndani ya chama, na wajumbe wake ni pamoja na:


  1. Viongozi wa Kitaifa wa Chama
  2. Wajumbe wa Baraza Kuu la Taifa
  3. Wenyeviti wa Kanda
  4. Wawakilishi kutoka ngazi za chini za chama (wilaya na matawi)
  5. Viongozi wa ngazi mbalimbali wa chama, ikiwa ni pamoja na wabunge na madiwani wa chama hicho.
Nb: Asilimia zaidi ya 80 ya wajumbe tajwa hapo juu wamemchoka Mbowe
Ok,sasa nimeelewa. Sasa sisi tuliopo kwenye mitanda ya jamii tunawezaje kutoa hukumu ilihali hao uliowataja ndo wahusika?
 
Watanzania wenzangu,,huu UCHAGUZI wa Chadema ni kiboko. Laiti kama tungejadili kuhusu mambo mengine ya msingi ,mfano katiba mpya.
 
Lakini kuita Chama Cha siasa Saccos haipendezi kabisa. Tuheshimu vyama vya siasa,tusiwabeze.
Hiyo ni saccoss ya mbowe. Kitendo chake cha kuchukua fomu kimewasikitisha maelfu ya vijana na wamekata tamaa kabisa. Awaachie wengine
 
Mh Nkuruzinza jina lingine Ayatollah angekuwa na aibu hata kidogo
 
Back
Top Bottom