Hivi wanaooga kwenye swimming pools hawakojoi mule? Kiafya ipoje?

Umenikumbusha miaka 14 iliyopita, niliwahi ku-download hadi movie kwenye swimming pool.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo haya yanayosemwa hapa hukuwahi hata kuyawaza kabisa Baba Mchungaji?

Au kuna utaalamu gani pale katika mtiririko wa maji kwenye hiyo swimming pool mana kama mie huwa naziona ona tu Baba Mchungaji.
 
Swimming pool zile zenye ubora kunakua na mtu maalumu kabisa wanamuajiri kwa ajili ya usafi wanaweka dawa kwenye maji lkn hizi zingine sidhani kama wanazingatia hilo.
Sijawai kuogelea katika swimming pool hata sikumoja, sababu yangu kuu ni kuogopa kama mwengine wanaweza fanya yao ( kukojoa). Au niko wrong?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…