[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenikumbusha miaka 14 iliyo pita, niliwahiku download hadi movie kwenye swimming pool
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine huwa wanakata gogo kabisa.Sijawai kuogelea katika swimming pool hata sikumoja, sababu yangu kuu ni kuogopa kama mwengine wanaweza fanya yao ( kukojoa). Au niko wrong?
Hivyo haya yanayosemwa hapa hukuwahi hata kuyawaza kabisa Baba Mchungaji?Umenikumbusha miaka 14 iliyopita, niliwahi ku-download hadi movie kwenye swimming pool.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchafu mwingi sana mle hata ngono inafanywa mleSijawai kuogelea katika swimming pool hata sikumoja, sababu yangu kuu ni kuogopa kama mwengine wanaweza fanya yao ( kukojoa). Au niko wrong?
ulienda mbali sana,Umenikumbusha miaka 14 iliyopita, niliwahi ku-download hadi movie kwenye swimming pool.
Sent using Jamii Forums mobile app
πkusugua CD ndo kufanya sex? πππ
Sijawai kuogelea katika swimming pool hata sikumoja, sababu yangu kuu ni kuogopa kama mwengine wanaweza fanya yao ( kukojoa). Au niko wrong?
Umeandika una akili timamuMama aliingia akatoka na mimba kumbe kijana wake (mtoto wa kumzaa) aliingia kabla akaacha shahawa. Kwa hiyo mama alizaa mtoto na mtoto wake.