Hivi wanaooga kwenye swimming pools hawakojoi mule? Kiafya ipoje?

Hivi wanaooga kwenye swimming pools hawakojoi mule? Kiafya ipoje?

Tena ndio ukute mwingine anazama ndani kabsa akiibuka juu anatema maji na kusukutua kabsa.. Aiiii[emoji847]
Wengi wanakojoa, kuhara, wenye magovi wanasafisha, kusukutua midomo yao, kusafisha matako yao, ngono, wanawake walioko period uchafu unabaki ndani ya maji, wenye mapele mwilini ukurutu unabaki ndani, wenye majasho yao na magonjwa ya ngozi yanabaki ndani, kwa swimming pool zetu siyo salama sana, for your own risk.
 
Sijawahi kuogelea katika swimming pool hata siku moja. Sababu yangu kuu ni kuogopa kama wengine wanaweza fanya yao (kukojoa). Au nipo wrong?
Huwa nawahurumia wanawake, mijamaa inakojoa shahawa mule sasa zinaogelea na zinauwezo wa kumuingia mwanamke yoyote na kama yupo siku za kupata mimba inakuwa balaa, ndo maana shemeji yenu sijawahi kumpeleka swimming pool
 
Maji huwa yanatabiwa na madawa mbali mbali kila siku na kunakuwa na mtu special kabisa kwa ajili ya kazi hiyo. Na analipwa mwisho wa mwezi, tena hela si ndogo.

Yaani hiyo kazi ni professional kabisa watu husomea.
Huko baharini kuna uchafu wa kila aina chemba za mavi mpaka mizoga ya watu waliozama na tunaogelea mbona uhoji.
 
Swimming pool inamfumo kama mfumo wa damu au hewa kwa binadamu yaani yale maji yapo kwenye (mzunguko) yanaaingia na kutoka kusafishwa na yanarudishwa hivyo sehemu ya chini yananyonywa na sehemu ya juu yanarudishwa hivyo uchafu hauwezi kuwepo muda mrefu unaondolewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajui....hata vile vibomba pembeni nahisi hawaonagi...na kile kinachokuwaga katikati cha kutolea maji au hata swimming pool hawajai kwenda wapo kutusumbua tu hapa
 
Mama aliingia akatoka na mimba kumbe kijana wake (mtoto wa kumzaa) aliingia kabla akaacha shahawa. Kwa hiyo mama alizaa mtoto na mtoto wake.
Acha uongo. Sperms haziwezi kusurvive kwenye maji, tena ya swimming pool. Temperature, volume na pH ya maji haiwezi ku-support survival ya sperms.
 
Back
Top Bottom