The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Mkuu umesoma hicho kitabu?I moved your cheese!
Mana ulichoandika ni jibu la kitabu cha kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umesoma hicho kitabu?I moved your cheese!
View attachment 1316379Sijawahi kuogelea katika swimming pool hata siku moja. Sababu yangu kuu ni kuogopa kama wengine wanaweza fanya yao (kukojoa).
Au nipo wrong?
Umenikumbusha miaka 14 iliyopita, niliwahi ku download hadi movie kwenye swimming pool.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo. Nilikisoma mwaka jana.Mkuu umesoma hicho kitabu?
Mana ulichoandika ni jibu la kitabu cha kwanza
Mkuu ulikunya?Umenikumbusha miaka 14 iliyopita, niliwahi ku download hadi movie kwenye swimming pool.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yale maji yanachujwa kwenye mfumo na kuna madawa kwa ajili ya kuua bakteria.Hivyo haya yanayosemwa hapa hukuwahi hata kuyawaza kabisa Baba Mchungaji?
Au kuna utaalamu gani pale katika mtiririko wa maji kwenye hiyo swimming pool mana kama mie huwa naziona ona tu Baba Mchungaji.
Tunakojoa sanaaa tu.
Kumbuka swiming pools zina system ya ku-circulate maji na ku-add chemicals ili kuyasafisha.. mfano Chroline... hata wasipokojoa, kitendo cha kuingia mule unaacha majasho yako na makorokoro mengine toka mwilini kwako...View attachment 1316379Sijawahi kuogelea katika swimming pool hata siku moja. Sababu yangu kuu ni kuogopa kama wengine wanaweza fanya yao (kukojoa).
Au nipo wrong?
Kabusa.Ndio maana so wanapaka rangi ya blue kuondoa true color, nadhani wangepaka rangi nyeupe maji yangekua na rangi ya manjano
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1316379Sijawahi kuogelea katika swimming pool hata siku moja. Sababu yangu kuu ni kuogopa kama wengine wanaweza fanya yao (kukojoa).
Au nipo wrong?
UongoSwimming pool ni pool la kuambukizana maradhi, UTI nk, ni utamaduni wa hovyo wa Wazungu.
That is a white man shit.😤
Umenikumbusha miaka 14 iliyopita, niliwahi ku download hadi movie kwenye swimming pool.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani tulishawahi kukutanaWanakojoa
Wanajamba
Hata walio period wanaswim esp baharini
Watu wanasugua CD mule ( couples + beach boys
....ila siachi [emoji474]
Uongo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si kila swimng pool ina maji yanayotembea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kilipoibuka ukafanya je?Hapana mkuu na ushamba ulichangia, nilidhani sionekani mzee... Nilipo bana tu kiwembe cha kimba, goma likanyenyuka kama boya....[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app