Hivi wanasemaga watoto ni malaika wa nani vile

Watoto wenyewe mnawafubaza akili, mtoto ana miaka mi5 unalala nae, unapiga MUCHINGA kwa mama yake anawaona unategemra umalaika humo 🤣😂

Yote 9, 10 watoto wa guest, magoli ya uchochoroni, quickie za bar, hawawezi kuwa malaika🤣😂
 
Wazamani ni Malaika wa mungu kizazi hichi ni malaika wa shetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…