Hivi wanaume hawa bado wapo miaka hii?

Hivi wanaume hawa bado wapo miaka hii?

Englishlady

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
2,736
Reaction score
3,644
Wana mmu habri zenu.Naombeni msaada. Nipo kwenye maswali mengi kama hii inawezekana au mazingaombwe au naibiwa?Nipo kwenye mahusiano na mkaka toka mwezi wa tatu mwaka jana, kwa kipindi chote kaka huyu hajawahinigusa kwa mapenzi zaidi ya kushikana na kubusiana tu au wakati mwingine kumaliza ashiki kwa romance. Kila nikijitahidi kuweka mazingira ya kudo anachomoa, atatoa maelezo mengiii. Sio mtu wa dini maana hata kwenda kanisani ni maramojamoja, ni mnywaji na ni mkaka wa mjini. Sielewi hivi wapo wanaume wa jinsi hiyo miaka hii? Au naibiwa mie, yupo anayemmalizia ashiki zake.Nyongeza sikujui kazini kwake wala kwao kwa ndugu zake najua tu ni mtaa fulani hajawahi nipeleka na hutoa sababu nyingi nikitaka kwenda kwao. Kwake nimewahi enda mara mbili tu kwa miezi yote hii. Kila nikifanya jitihada za kuachana nae anasumbua, anatumia marafiki zangu ama ndugu zake kudai ananipenda, kila nikipima upendo wake siuoni. Naona kama napoteza muda tu, naomba ushauri wenu.
 
kha!! yaani wewe mwanamke unashindwa kumfanya mwanaume aingize dushelele kwenye k yako? ebu next tym igusishe kwenye k yako tuone kama hata zama ndani.....if all fails basi mwambie mie nakubwaga
 
Mmmh sijui unadanganywa au unaibiwa! Mahusiano kama hayana ramani vile..malengo yenu ni yepi?

Sasa unataka upewe mbinu ili ufanikishe ku'do au unataka uambiwe endelea nae/achana nae?

Ukipima mzani wewe mwenzetu unaonaje?
 
kwa kushabikia mgegedo tu hujambo.... haya nijulishe hali yako manake tangu siku ile tulipoachana saa sita za usiku zijakuona wala kukusikia tena
kha!! yaani wewe mwanamke
unashindwa kumfanya mwanaume aingize dushelele kwenye k yako? ebu next
tym igusishe kwenye k yako tuone kama hata zama ndani.....if all fails
basi mwambie mie nakubwaga
 
kwa kushabikia mgegedo tu hujambo.... haya nijulishe hali yako manake tangu siku ile tulipoachana saa sita za usiku zijakuona wala kukusikia tena

hahaha jamani kugegda kutamu nyie lol.....mie mzima alafu wewe nae ukasepa bila ata kuaga bwana
 
1. Huyo mwanaume ni yahaya? Tahadhari utaumia

2. Inawezekana huyo mwanaume hasimamishi, wakati wa romance huwa unaishika maiki?

3. Labda dume shoga

4 labda anakwepa uasherati
 
Back
Top Bottom