Public Enemy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 3,029
- 3,520
sasa bi dada,jaamaa hataki mapenzi wala hana time nayo wa nini? BINDUKI BILA RISASI YA KAZI GANI?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo bi mkubwa unataka tukufunze elimu ya uzinifu ama???
Mmmh sijui unadanganywa au unaibiwa! Mahusiano kama hayana ramani vile..malengo yenu ni yepi?
Sasa unataka upewe mbinu ili ufanikishe ku'do au unataka uambiwe endelea nae/achana nae?
Ukipima mzani wewe mwenzetu unaonaje?
1. Huyo mwanaume ni yahaya? Tahadhari utaumia
2. Inawezekana huyo mwanaume hasimamishi, wakati wa romance huwa unaishika maiki?
3. Labda dume shoga
4 labda anakwepa uasherati
Zipo juu
Kwa hiyo bi mkubwa unataka tukufunze elimu ya uzinifu ama???
We Karucee,si angelia kwa utamu.Wanawake bwana? Angekugegeda ungelia, hakugegedi unalia.
Kwa wanaume things are different dada. Hata kama kuwe na mtu mwingine anaemtimizia haja zake huko nje, na wewe angekugegeda tu kama everything is on set .
So nionavyo mimi kuna two things involved
1. Ni aidha jamaa si salama ,kwamba si mzima kinguvu za kiume (hafauction au ni goi goi sana)au ana maambukiz ya VVU. Sasa hatak kukuambukiza .
2.Inawezekana haumvutii ,hasa mkiwa on sex scenerio hivyo stim huwa zinakata.
Dunia hii inamambo! Kwawengine ndiyo watakacho huku kwa wengine ni kero!Humu humu nimeona mwanadada akilalamika kuwa kwanini kila mwanaume anamuomba papuchi kabla ya ndoa sasa na wewe unalalamika kwanini hauombwi papuchi!
Wana mmu habri zenu.Naombeni msaada. Nipo kwenye maswali mengi kama hii inawezekana au mazingaombwe au naibiwa?Nipo kwenye mahusiano na mkaka toka mwezi wa tatu mwaka jana, kwa kipindi chote kaka huyu hajawahinigusa kwa mapenzi zaidi ya kushikana na kubusiana tu au wakati mwingine kumaliza ashiki kwa romance. Kila nikijitahidi kuweka mazingira ya kudo anachomoa, atatoa maelezo mengiii. Sio mtu wa dini maana hata kwenda kanisani ni maramojamoja, ni mnywaji na ni mkaka wa mjini. Sielewi hivi wapo wanaume wa jinsi hiyo miaka hii? Au naibiwa mie, yupo anayemmalizia ashiki zake.Nyongeza sikujui kazini kwake wala kwao kwa ndugu zake najua tu ni mtaa fulani hajawahi nipeleka na hutoa sababu nyingi nikitaka kwenda kwao. Kwake nimewahi enda mara mbili tu kwa miezi yote hii. Kila nikifanya jitihada za kuachana nae anasumbua, anatumia marafiki zangu ama ndugu zake kudai ananipenda, kila nikipima upendo wake siuoni. Naona kama napoteza muda tu, naomba ushauri wenu.
Yawezekana ngoja nifanyeutafiti.
Ila la pili, yaani jamaa hata hajawahi niita ama andaa mazingira ya sex, ninaposema romance ni za bahati mbaya sana, wakati wa kuagana tena vichochoroni.
Well said mkuu mwanadamu hana wemaDunia hii inamambo! Kwawengine ndiyo watakacho huku kwa wengine ni kero!Humu humu nimeona mwanadada akilalamika kuwa kwanini kila mwanaume anamuomba papuchi kabla ya ndoa sasa na wewe unalalamika kwanini hauombwi papuchi!
Heri ya mwaka mpya farkhina haya unayosema ni ya kweli manake kama amekua na mashaka na upendo wa huyo ndugu si bora hajamfunua inampa nafac ya kusepa bila doa.Yaani sometimes wanawake tunajirahisisha mno.....
Hata kama huoni upendo wake kwako na haeleweki shukuru kwa kuwa hajakufunua...
Mwanamke stara shosti...sio kila mtu kisa uko nae tena umpe papuchi hio si sadaka ati....