Hivi wanaume hawa bado wapo miaka hii?

1. Uhusiano wenu una malengo yoyote, mnaongelea future?
2. Mmewahi kupima HIV hata mara moja?
3. Wakati wa kufanya romance, je unaushika mninga wake?....anadisa vizuri?
4. Kwa nini msikae kama wapenzi na kuongelea swala la kudinyana, kwanini msiwe wazi?
 

Akijibu haya maswali nauhakika kesho jamaa anamgegeda
 
We acha tu. Hivi upo ML? Umepotea.
Yeah ni kweli, kuna muda fulani nilikuwa kijijini, network sometime inazingua nashindwa kuipata MMU,
Enhee, embu niambie Karucee, ungekuwa ni wewe ungemuelewaje?, unataka jamaa akule mzigo halafu dizaini kama anazingua.
 
Kama ni hivyo then inawezekana hilo la kwanza linahusika sana,
Katika moja ya repply zako huko juu umeonesha kuwa unauhakika kuwa jamaa ni mzima kimaumbile ,vp uliproove vp hili??

Nini kinakufanya uamin kuwa jamaa anafunction??



Nimeshafanya nae romance mara kadhaa, kajamaa kanasimama vema,na kanatema wadudu.
 

1. he always talk ama wife material nipo tofauti na wanawake wengine,
2. Hatujawahi, nishambwambia mara kadhaa akasema tutakwenda, amewahi umwa uti nikamwambia umeambikizwa na mwanamke kwa utani ila sikfuatilia sana ameupata wapi uginjwa huu.
3. Dushelele iko njema kabisa, unasimama vyema na kutema madini.
4. Kuna siku nimemuuliza kwa mafumbo, hakunielewa, wakati mwingine nasema nisimuulize pengine Mungu ananilinda, ila simwelewi bado.
 
njoo ghetto kwangu chuon uhasibu then i'm gonna teach ya each & evythng
 
Sio kujifunza uzinifu. Ni kutaka kujua haya ni kweli aua mwanaume ana mwingine?

We binti wewe utakuja kulia kilio cha punda shauri yako...

Mwanaume akikutafuna wewe haina maana hana vidumu huko nje...

Kwanza mnavyonyonyana hizo ndimi, mmepima Gonjwa la Kisasa kujua usalama wenu?

Unaweza ukawa unalilia dushelele kumbe mwenzako ana ngoma na roho yake inamsuta anaogopa kukuunganisha kwenye Gridi ya Taifa...

Thinkkkk....
 

syntax error
 
Kuwa ''wife material'' ni msemo wanaotumia wanaume wa sasa kuwakosha nyie wanawake, so do not get carried away!.. Mda mliokaa pamoja, kama wewe ni ''wife material'' basi lazma awe na intentions flani, labda kama bado mpo college.

Kama hamjawahi ku-do basi muombe mkapime ili mjue afya zenu (binafsi naogopa kupima) ila jitahidi umshawishi mkapime, yawezekana hata yeye anaogopa kukugusa kwa sababu hizo hizo

Usimuulize kwa mafumbo (how old are you?) Ongea nae, ili mradi wewe ulishaamua kungonoka, basi ongea nae kwa uwazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…