Queen of seduction!!, I like this.
Ila usimzomee baadaye, mshikaji atajisikia ovyo.
Yawezekana ameshanasa so anajisikia vibaya hayaki akuambukize,mshukuru Mungu wako na usepe.
Nimejaa tele kama pishi la mchele, wanasemaje Zoo?Mukulu upo...???
Nimejaa tele kama pishi la mchele, wanasemaje Zoo?
Hapa Lyamidati napo naona inatishia tishia, acha ipige tu tukatobheje majaruba.Huku tunakula sato tu
Kuna mawingi sijui leo mvua itanyesha au miyeyusho tu ...!!!!!
Hapa Lyamidati napo naona inatishia tishia, acha ipige tu tukatobheje majaruba.
Akujiwe;ndi nashida mbula i tule nalabhe mamchele.Kweli mkuu
Mhola ya sebha ...!!!!!!!!!!!!!!!
Umepima?
aisee duniani kuna vioja na vitimbi sijui tutalisaidiaje taifa letu?
maana sijawahi demu unamranda dume kiihivyo?
kwani unafikiri upendo unapimwa kwanini bestito mpaka ufanye dhambi hiyo
ndipo ujue kuwa huyo dume anakupenda? ondoa dhana hiyo rafiki yangu
Wakati wa romance vua nguo uone kama hatafanya!!!!!
Romance yenyewe hufanyiwa uchochoroni, wakati unaaga,gizani unashikwashikwa. Nguo hazivuliki.