Hivi wanaume hawa bado wapo miaka hii?

Hivi wanaume hawa bado wapo miaka hii?

Mdogo wangu Englishlady,

Nadhani usingeweka mkazo kwenye ngono, ungepewa ushauri kibao tena mzuri zaidi.....

Kuhusu kutopenda kufanya ngono, kunaweza kuwa na sababu nyingi ingawa kuna maswali kibao pia.

Binafsi nimestushwa na suala la kukuficha details zake.....Nadhani hapo ndipo kwenye tatizo kubwa zaidi.

Inawezekana ni mume wa mtu au yuko kwenye mazingira/kazi ya hatari sana ambayo asingependa ujue. Jitahidi kulifanyia kazi hili jambo na ukiona bado kiza, unaweza kuanza mbele. Kubwa zaidi ni kubwa unayo bahati

ya mtende kwa kuwa hujavuliwa kufuli...unaondoka ukingali mzima (???)!!

Babu DC!!



Asante babu kw ushauri mzuri!

Shikamoo sana!
 
Last edited by a moderator:
Wana mmu habri zenu.Naombeni msaada. Nipo kwenye maswali mengi kama hii inawezekana au mazingaombwe au naibiwa?Nipo kwenye mahusiano na mkaka toka mwezi wa tatu mwaka jana, kwa kipindi chote kaka huyu hajawahinigusa kwa mapenzi zaidi ya kushikana na kubusiana tu au wakati mwingine kumaliza ashiki kwa romance. Kila nikijitahidi kuweka mazingira ya kudo anachomoa, atatoa maelezo mengiii. Sio mtu wa dini maana hata kwenda kanisani ni maramojamoja, ni mnywaji na ni mkaka wa mjini. Sielewi hivi wapo wanaume wa jinsi hiyo miaka hii? Au naibiwa mie, yupo anayemmalizia ashiki zake.Nyongeza sikujui kazini kwake wala kwao kwa ndugu zake najua tu ni mtaa fulani hajawahi nipeleka na hutoa sababu nyingi nikitaka kwenda kwao. Kwake nimewahi enda mara mbili tu kwa miezi yote hii. Kila nikifanya jitihada za kuachana nae anasumbua, anatumia marafiki zangu ama ndugu zake kudai ananipenda, kila nikipima upendo wake siuoni. Naona kama napoteza muda tu, naomba ushauri wenu.
Labda ni bwabwa
 
Asante babu kw ushauri mzuri!

Shikamoo sana!

Marahaba kidogo,

Umefikia wapi sasa?

Itakuwa vizuri ukitushirikisha mikakati yako ili tuone kama ushauri wetu umekuwa wa manufaa kwako....

Ila usiwe mtu wa kukata tamaa...sawa??....Ukizingatia kuwa mambo mazuri hayataki haraka...lol!!

Babu DC!!
 
Marahaba kidogo,

Umefikia wapi sasa?

Itakuwa vizuri ukitushirikisha mikakati yako ili tuone kama ushauri wetu umekuwa wa manufaa kwako....

Ila usiwe mtu wa kukata tamaa...sawa??....Ukizingatia kuwa mambo mazuri hayataki haraka...lol!!


Babu DC!!


Nitaleta mejesho, bado nachunguza, though nimekata tamaa sana, nahisi kuna kitu kingine alifuata kwangu
 
Nitaleta mejesho, bado nachunguza, though nimekata tamaa sana, nahisi kuna kitu kingine alifuata kwangu
Mh nakuonea huruma lakini huenda hiyo ni nafasi kwa sis wengine tunaoiweza hiyo kazi. Unikumbuke kwenye ufalme wako aise wala sitakuangusha Englishlady
 
Last edited by a moderator:
....Do! hii ya leo kali,kweli Dunia sasa imefika ukingoni kumalizika,nadhani imemalizika tayari bali mda tu haujafika,yaani unataka ugegedwe?napata wasix2 wewe sio Bikra,gazeti limeshafunguliwa na limesomwa .sasa unataka wasomaji waongezeke.kama ungekua huja-Doo ungeogopa.
 
Mh nakuonea huruma lakini huenda hiyo ni nafasi kwa sis wengine tunaoiweza hiyo kazi. Unikumbuke kwenye ufalme wako aise wala sitakuangusha Englishlady

Mada yangu haijaeleweka vyema, msingi wa hofu yangu sikutaka kugegedwa ila ni hofu hivi ni kweli wanaume wa kitanzania bila kugegeda inawezekana? Ana nini kichwani?
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: SG8
....Do! hii ya leo kali,kweli Dunia sasa imefika ukingoni kumalizika,nadhani imemalizika tayari bali mda tu haujafika,yaani unataka ugegedwe?napata wasix2 wewe sio Bikra,gazeti limeshafunguliwa na limesomwa .sasa unataka wasomaji waongezeke.kama ungekua huja-Doo ungeogopa.

Hayo mawazo yako.
 
Nitaleta mejesho, bado nachunguza, though nimekata tamaa sana, nahisi kuna kitu kingine alifuata kwangu


Ukijipa muda na kujipanga kila kitu kitakuwa wazi soon....hakuna marefu yasiyo na ncha....

Jipange pia ili upate ukwel....no free lunch mdogo wangu!!

Babu DC!!!
 
Wana mmu habri zenu.Naombeni msaada. Nipo kwenye maswali mengi kama hii inawezekana au mazingaombwe au naibiwa?Nipo kwenye mahusiano na mkaka toka mwezi wa tatu mwaka jana, kwa kipindi chote kaka huyu hajawahinigusa kwa mapenzi zaidi ya kushikana na kubusiana tu au wakati mwingine kumaliza ashiki kwa romance. Kila nikijitahidi kuweka mazingira ya kudo anachomoa, atatoa maelezo mengiii. Sio mtu wa dini maana hata kwenda kanisani ni maramojamoja, ni mnywaji na ni mkaka wa mjini. Sielewi hivi wapo wanaume wa jinsi hiyo miaka hii? Au naibiwa mie, yupo anayemmalizia ashiki zake.Nyongeza sikujui kazini kwake wala kwao kwa ndugu zake najua tu ni mtaa fulani hajawahi nipeleka na hutoa sababu nyingi nikitaka kwenda kwao. Kwake nimewahi enda mara mbili tu kwa miezi yote hii. Kila nikifanya jitihada za kuachana nae anasumbua, anatumia marafiki zangu ama ndugu zake kudai ananipenda, kila nikipima upendo wake siuoni. Naona kama napoteza muda tu, naomba ushauri wenu.

kwaiyo unataka ku do..!?
 
Mh me nadhani umshukuru tu mungu kwani anaonyesha kuwa na mapenzi ya kweri.
 
Hiyo ndio aina ya mapenzi yenu, endeleeni kuifuata nyota ya kijani!

Nafikiri anasubiri muda muafaka, huenda anao wengine wa kuchezea, wewe anakuandaa kuwa mwandani wake; acha ukicheche wako ili ujipatie mume huyo!
 
Back
Top Bottom