Hivi wanaume huwa mnapata nini kwenye matiti?

Hivi wanaume huwa mnapata nini kwenye matiti?

Inaonekana dada huwa hauhisi chochote wakati mzee mzima ananyonya ndo maana umeleta malalamiko,ngoja waje ambao wana hisia kwenye maziwa
 
Mimi pia mkuu, halafu napenda ile natural smell, sipendi deodorant sijui nini, nataka ile harufu ya jasho la kikwapa cha asili... huwa nasinzia kabisa naingia peponi. Acha tu salamaleko.
Mkuu hujakutana na kwapa langu wewe, utaliaa yaani natural smell iyozidi kama kitu kimeoza 😀😀
 
Ila kama nimemwelewa kidogo mtoa mada, mtumiaji wa manyonyo yake hajui namna ya kuyanyonya,,,uliona wapi furaha inaleta karaha, eti anamnyonya hadi anamuumiza,,,aachie wajuzi wa mambo waendelee na shughuli zao za kunyonya kwa ustadi yeye apambane na sehemu nyingine

Teh teh

Nimejikuta nacheka kwa nguvu maana duuh wakiacha itakuwaje sasa
😀😀 kumbe shida ni huyo babe wake anafyonza kama anagombana bana! Ile kitu ina ustadi wake.

Siku wakiacha ntaandamana kabisa kudai haki ya boobs sucking 😀
 
Kwa chuchu zilizoko kama hapa unaachaje. Sijui picha inakiuka sheria niitoe
IMG_20210609_201838.jpg
 
Back
Top Bottom