Hivi wanaume mnaosema wanawake wa JF maharage ya mbeya nyie mnatumia dawa gani?

akaa nafikiri watakuwa wameshafika pm loo,ila napitia mitongozo ya pm nacheka sana kuna watu wana mitongozo ya kizee ha ha ha ha ha ha
hahaha [emoji23][emoji23] acha kutuaibisha ss amu...[emoji20][emoji20][emoji125][emoji125]
 
mimi ninae my good man na anachit na nyie nawaangalia tu majuzi kati kachit chat nawe nimecheka hatari ,ha ha ha ha ha ukimuweka hadharani kuharibiana tu ila wakuwekwa hadharani kuzugia tu,
amu na wewe umefanikiwa kumpata wako jf?

Hongera shost
 
Kwamba watamuiba ama nene?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…