Hivi wanaume mnaosema wanawake wa JF maharage ya mbeya nyie mnatumia dawa gani?



utajiaje kama mtu fulani kakuchukia???
mhmh kuchat hapa jukwaani tu mtu akuchukie?? Atakua mbili kasoro huyo..


cc Smart911
 
nikupe siri, wanaume hatupendi mwanamke mwenye maneno mengi na kuongea sana...hata awe mzuri zaidi ya malaika,

hawa waongeaji wa kawaida tu wanatutoa jasho ss akiwa wa type yake si hatari
unafkr akiwa na mwanaume aliempenda atakuwa na mijineo na mithread yake,najua wanaume kelele stress hampendi ila mtuvumilie jamani kuongea tunapata relief sisi si kama nyie mna koromelo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…