Hivi wanaume mnaosema wanawake wa JF maharage ya mbeya nyie mnatumia dawa gani?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hahah hapo utakua kama jinga moja hivi
 
Utani tu bwana. Mi nilisifia wawili humu mmoja hata pm hatukuwahi kuchat ubeb wa kwenye nyuzi tuu.
oouh... basi labda huyo mwingine wa pili ndiye mmojawapo anayetangaza humu wanawake wengi maharage ya mbeya.

nimesema huenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…