Na hawajawahi kuwa na huruma. Wenyewe ukiwatengea wakati hawana mpango wa kula wanakula wanasepa unabaki na maumivu yakowanaume hawana huruma wewe sisemi sana bora daby awahi naweza sema atakuwa salama
Taratibu ndio mwendo au?Utani tu bwana. Mi nilisifia wawili humu mmoja hata pm hatukuwahi kuchat ubeb wa kwenye nyuzi tuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hahah hapo utakua kama jinga moja hiviFungua id nyingine jisifieeeee kama jinga moja hivi.
Ukitoka hapo fungua id nyingine jitongoze na declare unaipenda id yako inayojulikana na wengi kama jinga moja hivi.
Kisha jifanye unajua kila kitu umeishi na viongozi wengi kama jinga moja hivi.
La mwisho usisahau kutembea na ilani popote ulipo kama jinga moja hivi.
kuna mtu naona anakumendea quote nyingi naangalia tuNa hawajawahi kuwa na huruma. Wenyewe ukiwatengea wakati hawana mpango wa kula wanakula wanasepa unabaki na maumivu yako
Hahahaha ni balaahahaha...
Hamna inakua changamsha genge tu.Taratibu ndio mwendo au?
Sometimes mambo mengine bora yaishe huku huku
Ni kweli changamsha genge ili maisha ya JF yaendeleeHamna inakua changamsha genge tu.
unamuomba jukwaani akufungulie haki unafunguliwa tena wewesasa unasiwa jukwaani ukituma kapm unaambiwa You can't start conversation with ......
Na utazuga umewapata hadi wengine huwataki kama jinga moja hivi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hahah hapo utakua kama jinga moja hivi
Hahahahahhaaaa. Karibu tena kwetu. Bila shaka ulikua wa Galanos wewesitanii...
Nani huyo babe? Embu nishtue nikawahi chance na mie nijinyakulie [emoji23][emoji23][emoji23]acha tu
kuna mtu naona anakumendea quote nyingi naangalia tu
Sasa na wewe mbona humpi mwenzio maujanja??Hahahaha ni balaa